mechard Rwizile
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 1,571
- 873
Kwa staili ya utawala wa sasa angeteuliwa kuwa Waziri Mkuu au IGPHivi DC Mnali yule aliyechapa walimu viboko ingekuwa kipindi hiki angetumbuliwa?
Kwa staili ya utawala wa sasa angeteuliwa kuwa Waziri Mkuu au IGPHivi DC Mnali yule aliyechapa walimu viboko ingekuwa kipindi hiki angetumbuliwa?
Mbona hajasema upuuzi aliokuwa anafanya kajibu juu juu tu!
Huku ndio kukanusha? Mbona hasemi huyo mwalimu aliwekwa ndani kwa kosa gani!Mkuu wa wilaya ya Hai Mh Erasius Byakanwa ametaa madai kuwa alimweka ndani Mwl Erasto Mhagama kwa saa sita kwasababu ya Mwalimu huyo kushindwa kutaja jina la Mkuu huyo wa Wilaya.
Mkuu wa Wilaya amesema yeye kama kiongozi mwenye akili timamu na akiamini mamlaka ya uteuzi inamwamini hawezi kumuweka mtu ndani kwa kushindwa kutaja jina lake na anafikiri akifanya hivyo basi atakuwa amepungukiwa Kitu cha msingi sana.
Lakini yeye kama kiongozi anazingatia utawala wa sheria na taratibu na pia kama kiongozi pale ambapo inonekana panalazisha kuchukua hatua anachukua hatua na taarifa ataitoa kwa ujumla kama alivyosema kupitia azam TV.
Mwalimu huyo aliwekwa ndani kituo cha Polisi Bomang'ombe kutoka saa 8:30 mchana mpaka saa 2:30 usiku.
Mimi mwenyewe nilipoiona ile Habari siku ya jana nilishangaa sana!
Hasa pale kwenye kutofautisha CUF chama cha Siasa na CAF shirikisho la Mpira wa Miguu
Huenda siyo mtanzania huyu. Haya majina ya kuleee.Correction : anaitwa Belsius Byakanwa.
Madaraka mengine yana % kubwa sana ya alcohol.
Imemkuta jamaa mmoja na jina lake lina kiambisho cha alcohol!
Amelewaje!!?
Ni mwalimu wa kike, maana wanawake wote ni wa kike. Ila alifanya hivyo baada ya kuwatisha waalim ili apate kukubaliwa kimapenzi na huu ni ubakaji.sijaona utetezi wake kuhusu zile meseji alizokuwa anamtumia yule mwanamke wa kike.... DC anaendekeza NGONO kazini.. hafai kuwa kiongoz...
Na hasemi kamuweka ndani kwa sababu gani. Anajitetea tu kuwa anajua sheria na bla bla nyingi.Mkuu wa wilaya ya Hai Mh Erasius Byakanwa ametaa madai kuwa alimweka ndani Mwl Erasto Mhagama kwa saa sita kwasababu ya Mwalimu huyo kushindwa kutaja jina la Mkuu huyo wa Wilaya.
Mkuu wa Wilaya amesema yeye kama kiongozi mwenye akili timamu na akiamini mamlaka ya uteuzi inamwamini hawezi kumuweka mtu ndani kwa kushindwa kutaja jina lake na anafikiri akifanya hivyo basi atakuwa amepungukiwa Kitu cha msingi sana.
Lakini yeye kama kiongozi anazingatia utawala wa sheria na taratibu na pia kama kiongozi pale ambapo inonekana panalazisha kuchukua hatua anachukua hatua na taarifa ataitoa kwa ujumla kama alivyosema kupitia azam TV.
Mwalimu huyo aliwekwa ndani kituo cha Polisi Bomang'ombe kutoka saa 8:30 mchana mpaka saa 2:30 usiku.
HarufuMimi mwenyewe nilipoiona ile Habari siku ya jana nilishangaa sana!
Hasa pale kwenye kutofautisha CUF chama cha Siasa na CAF shirikisho la Mpira wa Miguu
Kwa jina hilo hata mm ningeshindwa litamka na ningeenda ndani kwa masaa 6Correction : anaitwa Belsius Byakanwa.
Wanakutana kwanza kuweka mambo sawa alafu kauli ya pamoja inatokaKwanini hajatoa taarifa mapema ni kujipanga na kupitisha bahasha kwanza au?
Nimeboreka kusoma halafu hakuna sababu iliyompelekesha kufanya hayo...
Atumbuliwe na nani?
Kwanini hajatoa taarifa mapema ni kujipanga na kupitisha bahasha kwanza au?
Nimeboreka kusoma halafu hakuna sababu iliyompelekesha kufanya hayo...
Huyo DC kwanza sio raia!!! Waanzie hapo.....sio raia huyu!! File lake lipo n ukweli unajulikana amepandikizwa kwa kazi maalum ya nchi jiraniiiCorrection : anaitwa Belsius Byakanwa.