Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
Mbona nipo kawaida tu kaka mkubwa na sitoi cheche zozote zileWewe mdogo wetu mbona umekomaa hivyo mpaka unatoa cheche?
Mbona nipo kawaida tu kaka mkubwa na sitoi cheche zozote zileWewe mdogo wetu mbona umekomaa hivyo mpaka unatoa cheche?
Unaoelekea utauza na bangeMh.Simon Odunga Ni mzalendo wa kutukuka....
Amesimamia mengi mazuri Wilayani Chemba....
Kila la heri kwake,Aaaamin.
Siempre Siempre Tanzania.
Kijana Muuza Al Kasus,
Jumbe Brown.
Ndio ameenda Rorya sasa unabisha nini?
Thanks for writing on JFSasa kama kumbe umeshajua na unajua kuwa ameenda huko Rorya kwanini 'unatupotezea' muda wetu hapa na 'Kutusumbua' akili zetu namna hii?
😁😁Thanks for writing on JF
Hakika...Mh.Simon Odunga Ni mzalendo wa kutukuka....
Very true...Amesimamia mengi mazuri Wilayani Chemba....
aiseeKweli hizi tetesi maana umeleta habari ki tetesi tetesi.
Unforgetable
mhhAna wake 2 wanagombana...
wee jamaa aiseeWalirudishwa kwao kwa sababu zipi ?
Huyo msabatho aliyeoa wanawake wawili na kushindwa kesi ya talaka.
Kwa hiyo lengo kubwa ni kwenda kumdhibiti Ezkael Wenje.
MmmhShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu wa Tanzania nimesikia tetesi kwamba;
Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga arudishwa kwao kwenda kuwa DC mpya wa Rorya na yule wa Rorya kapelekwa Chemba?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
View attachment 1536385
Shida ni nini iwapo alimchapa mkewe kama bi mkubwa anavyochapwa na mumewe?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu wa Tanzania nimesikia tetesi kwamba;
Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga arudishwa kwao kwenda kuwa DC mpya wa Rorya na yule wa Rorya kapelekwa Chemba?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
View attachment 1536385