Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu wa Tanzania nimesikia tetesi kwamba;
Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga arudishwa kwao kwenda kuwa DC mpya wa Rorya na yule wa Rorya kapelekwa Chemba?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
View attachment 1536385
Eti ndugu zangu wa Tanzania nimesikia tetesi kwamba;
Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga arudishwa kwao kwenda kuwa DC mpya wa Rorya na yule wa Rorya kapelekwa Chemba?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
View attachment 1536385