Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,303
- 12,962
"Na kama itaonekana nimefanya maamuzi yasiyo sahihi wacha niende nyumbani lakini nitashughulika na huyo mtu. Tarehe 21 Agosti 2019 saa sita mchana TMO, Mkurugenzi na Afisa Utumishi waniletee hicho kifaa ofisini kwangu"
Hayo ni miongoni mwa maneno aliyotamka mkuu wa wilaya ya Bariadi wakati akitoa maagizo ya hovyo kabisa kutaka wafanyakazi wa hospitali wachange kwa lazima kununu mashine iliyoibiwa hospitali.
Sasa uamuzi wake umetenguliwa hivyo aende nyumbani akapumzike kama alivyoahidi.
“Kuna maelezo yalitolewa kwamba Wale Watumishi 137 wakatwe mishahara yao kulipia mashine ya Ultra Sound iliyoibiwa Bariadi, kiukweli Watumishi hawa wanafanya kazi katika mazingira magumu sana na kuwasaidia Wananchi, kitendo kama hiki ni kuwakatisha tamaa, lengo iwe ni kudili na waliohusika tu... natoa maelekezo Watumishi hawa wasichangishwe fedha ya aina yoyote sababu sio jukumu lao, namuelekeza Mkuu wa Mkoa uchunguzi ufanyike wabainike waliohusika” - SULEIMAN JAFO, WAZIRI WA TAMISEMI
https://www.facebook.com/ufi/reacti...s6MTYzMzcwMTYxMzQzNjU0Mw==&av=100001710721970
Hayo ni miongoni mwa maneno aliyotamka mkuu wa wilaya ya Bariadi wakati akitoa maagizo ya hovyo kabisa kutaka wafanyakazi wa hospitali wachange kwa lazima kununu mashine iliyoibiwa hospitali.
Sasa uamuzi wake umetenguliwa hivyo aende nyumbani akapumzike kama alivyoahidi.
“Kuna maelezo yalitolewa kwamba Wale Watumishi 137 wakatwe mishahara yao kulipia mashine ya Ultra Sound iliyoibiwa Bariadi, kiukweli Watumishi hawa wanafanya kazi katika mazingira magumu sana na kuwasaidia Wananchi, kitendo kama hiki ni kuwakatisha tamaa, lengo iwe ni kudili na waliohusika tu... natoa maelekezo Watumishi hawa wasichangishwe fedha ya aina yoyote sababu sio jukumu lao, namuelekeza Mkuu wa Mkoa uchunguzi ufanyike wabainike waliohusika” - SULEIMAN JAFO, WAZIRI WA TAMISEMI
https://www.facebook.com/ufi/reacti...s6MTYzMzcwMTYxMzQzNjU0Mw==&av=100001710721970