Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Amewaonya Wafugaji hao kuacha mara moja tabia ya kulisha mifugo yao kwenye hifadhi ya Arusha kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria
Wafugaji hao walipoteza ng' ombe wao 16 waliouawa baada ya kuingia hifadhi ya Taifa Ya Arusha ( Arusha National Park)
Wananchi & Wadau Mbalimbali wamempongeza sana Mkuu huyo wa Wilaya kwa moyo wa huruma na Uzalendo na kuamua kuwapa kifuta machozi hicho kufuatia masaibu waliyoyapata.
Wamemuombea kwa Mungu azidi kumpa Hekima zaidi na Ulinzi ili aweze tekeleza majukumu yake ipasavyo kama Muwakilishi wa Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania ngazi ya Wilaya!
Wafugaji hao walipoteza ng' ombe wao 16 waliouawa baada ya kuingia hifadhi ya Taifa Ya Arusha ( Arusha National Park)
Wananchi & Wadau Mbalimbali wamempongeza sana Mkuu huyo wa Wilaya kwa moyo wa huruma na Uzalendo na kuamua kuwapa kifuta machozi hicho kufuatia masaibu waliyoyapata.
Wamemuombea kwa Mungu azidi kumpa Hekima zaidi na Ulinzi ili aweze tekeleza majukumu yake ipasavyo kama Muwakilishi wa Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania ngazi ya Wilaya!