Bakari Chijumba
Member
- Mar 22, 2019
- 46
- 55
Na Bakari Chijumba,Mtwara
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea,Mh.Rukia Muwango amesitisha shughuli zote za Serikali Leo 25 April 2019 na Kesho 26 April 2019,kwa ajili ya tahadhari ya Kimbunga.
Wananchi wa Nachingwea wameombwa kuwa watulivu na kuiombea Tanzania,ili janga hili lisijitokeze.
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea,Mh.Rukia Muwango amesitisha shughuli zote za Serikali Leo 25 April 2019 na Kesho 26 April 2019,kwa ajili ya tahadhari ya Kimbunga.
Wananchi wa Nachingwea wameombwa kuwa watulivu na kuiombea Tanzania,ili janga hili lisijitokeze.