Kwa karibu mwezi mzima wanafunzi wanaosoma Chuo Kikuu cha ERKENFORDE Tanga walisimamishwa masomo na baada ya majadiliano yakihusisha wanafunzi,TCU na uongozi wa chuo wanafunzi wameamriwa kuandika barua yakuomba msamaha.Cha ajabu ni kuwa wanafunzi wana ji commit kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya kuwa hawatashiriki tena mgomo.
Mkuu wa wilaya anahusika vipi katika utawala wa CHUO kikuu binafsi?Je waliharibu mali yoyote kiasi ambacho kamati ya Usalama ya Wilaya inashawishika kuingia?
Kwa TCU kama regulatory authority kwa nini isiwe inamaliza mambo haya yenyewe bila kuingiza ngazi nyingine?
Naomba kuwasilisha mliopo Tanga mtujuze zaidi.
Mkuu wa wilaya anahusika vipi katika utawala wa CHUO kikuu binafsi?Je waliharibu mali yoyote kiasi ambacho kamati ya Usalama ya Wilaya inashawishika kuingia?
Kwa TCU kama regulatory authority kwa nini isiwe inamaliza mambo haya yenyewe bila kuingiza ngazi nyingine?
Naomba kuwasilisha mliopo Tanga mtujuze zaidi.