Stay tuned.....Source???
Hata mi nawashangaa sana ka yule wa ikulu hadi huruma, wanajitaftia pressure za bure mana viongozi wa sasa wapenda kiki SAA yoyote kutumbuliwaNawashangaa sana watu wanaokubali teuzi za serikali hii!
Manyanyaso na masimango kibao kama vile nchi hii ni mali yao na wana hati miliki!
Source mkuu.
Vp kapima kaona hatoshi!!!
Mbozi una majembe ya cdm siyo ndiyo ndiyo hivyo kasoma alama za nyakatiMkuu wa Wilaya (DC) Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiondoa katika nafasi hiyo ya U-DC.
Badala yake, DC aliyekuwa Kongwa, John Ernest Palingo anakwenda kuwa DC Mbozi, na Kongwa itasubiri uteuzi mpya.
Stay tuned..