Mkuu wa Wilaya mstaafu asalimisha silaha polisi, polisi wamchunguza

Mwanaume ukiwa na pesa kuna mambo mengi yanajificha nyuma ya paziaaa

Wanawake sio watu wa kuwaamini
Mkuu wa wilaya mstafu nchini, Peter Toima anadaiwa kusalimisha silaha yake mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha baada ya kudaiwa kumtishia mkewe wa ndoa Mara kadhaa, Philomena Toima.

Hatua ya kiongozi Huyo mstaafu kusalimisha silaha yake inakuja kufuatia kumpiga Mara kwa Mara mkewe na kisha kumtishia kwa silaha hiyo jambo lililopelekea mwanamke huyo kuwasilisha malalamiko mbele ya jeshi hilo.

Mnamo mwaka Jana mke wa kiongozi huyo (Philomena) alifungua jalada la shambulio lenye kumbukumbu nambari KML/RB/137/2019 katika kituo cha polisi cha Komolo wilayani Simanjiro akilalamika kushambuliwa sehemu mbalimbali mwilini mwake.

Katika tukio hilo Philomena alimlalamikia mmewe kutokuwa mwaminifu kwenye ndoa yake baada ya kudaiwa kuchepuka na mwanamke aliyetambulika kwa majina ya Scolla Mollel.

Philomena alidai kwamba matatizo hayo yalianza pale mme wake alipomwajiri mwanamke huyo ambaye kwa sasa amezaa naye mtoto mmoja katika taasisi waliyoianzisha ya ECLAT Foundation kama mtunza fedha.

Taarifa za uhakika zinadai kwamba Toima alikabidhi silaha yake hivi karibuni mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha na kutakiwa kuripoti Mara kwa Mara.

Hatahivyo,taarifa hizo zimeeleza kwamba polisi wanaendelea kuchunguza jalada lililofunguliwa mbele ya jeshi hilo na endapo wakikamilisha watamfikisha kiongozi Huyo mstaafu mahakamani.

Pichani chini ni mkuu wa wilaya mstaafu nchini Peter Toima akiwa na mkewe .

Picha nyingine ni mwanamke anayedaiwa kuwa na mahusiano naye na kupelekea kuvuruga ndoa ya wawili hao,Scolla

Mollel.View attachment 1421409View attachment 1421410View attachment 1421411

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani ulitakiwa kusema pia alikua mkuu wa wilaya gani

Kwani kusema tu alikua mkuu wa wilaya inakua kama vile wote tunamjua wasifu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa wilaya mstafu nchini, Peter Toima anadaiwa kusalimisha silaha yake mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha baada ya kudaiwa kumtishia mkewe wa ndoa Mara kadhaa, Philomena Toima.

Hatua ya kiongozi Huyo mstaafu kusalimisha silaha yake inakuja kufuatia kumpiga Mara kwa Mara mkewe na kisha kumtishia kwa silaha hiyo jambo lililopelekea mwanamke huyo kuwasilisha malalamiko mbele ya jeshi hilo.

Mnamo mwaka Jana mke wa kiongozi huyo (Philomena) alifungua jalada la shambulio lenye kumbukumbu nambari KML/RB/137/2019 katika kituo cha polisi cha Komolo wilayani Simanjiro akilalamika kushambuliwa sehemu mbalimbali mwilini mwake.

Katika tukio hilo Philomena alimlalamikia mmewe kutokuwa mwaminifu kwenye ndoa yake baada ya kudaiwa kuchepuka na mwanamke aliyetambulika kwa majina ya Scolla Mollel.

Philomena alidai kwamba matatizo hayo yalianza pale mme wake alipomwajiri mwanamke huyo ambaye kwa sasa amezaa naye mtoto mmoja katika taasisi waliyoianzisha ya ECLAT Foundation kama mtunza fedha.

Taarifa za uhakika zinadai kwamba Toima alikabidhi silaha yake hivi karibuni mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha na kutakiwa kuripoti Mara kwa Mara.

Hatahivyo,taarifa hizo zimeeleza kwamba polisi wanaendelea kuchunguza jalada lililofunguliwa mbele ya jeshi hilo na endapo wakikamilisha watamfikisha kiongozi Huyo mstaafu mahakamani.

Pichani chini ni mkuu wa wilaya mstaafu nchini Peter Toima akiwa na mkewe .

Picha nyingine ni mwanamke anayedaiwa kuwa na mahusiano naye na kupelekea kuvuruga ndoa ya wawili hao,Scolla

Mollel.View attachment 1421409View attachment 1421410View attachment 1421411

Sent using Jamii Forums mobile app
huyumamaa MKUU WA WILAYA ANA HAKI HAPO LWENYE SILAHA
KUHUSU MLALAMIKO YA KICHENCHEDE AACHANE NAYO HAO NDIO WANATUTUNZIA MABABA ZETU ATI WENGINE WANGESHAKUF SIKUNYINGI.. AWE MPOLE AKIWEZA AAJOROWE KAMA MWEKAHAZONA MSAIDIZI HIO TAASISI
 
Mkuu tatizo hawa wake zetu wakituzoea wanajisahau sana, japo sio wote. Anakuona kama kaka yake hakuhudumii inavyopaswa hasa kwenye tendo la ndoa. Tabia hii inapokomaa husababisha mwanaume aangalie namna ya kupata msaada pembeni, matokeo yake yanazuka mambo mazito
Uko sahihi,na wengi hawatoki kwa kupenda kuna sababu..hata hivyo akili kichwani mwako.
 
Wengine wakistaafu wanaanza kuizunguka dunia na wake zao wakitalii ili kumalizia safari ya maisha, ila pia wengine wakistaafu na kuzeeka hutafuta nyumba ndogo(mabinti) ili kukamilisha safari ya maisha dah tuko tofauti sanaa hapa duniani.
 
Mkuu wa wilaya mstafu nchini, Peter Toima anadaiwa kusalimisha silaha yake mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha baada ya kudaiwa kumtishia mkewe wa ndoa Mara kadhaa, Philomena Toima.

Hatua ya kiongozi Huyo mstaafu kusalimisha silaha yake inakuja kufuatia kumpiga Mara kwa Mara mkewe na kisha kumtishia kwa silaha hiyo jambo lililopelekea mwanamke huyo kuwasilisha malalamiko mbele ya jeshi hilo.

Mnamo mwaka Jana mke wa kiongozi huyo (Philomena) alifungua jalada la shambulio lenye kumbukumbu nambari KML/RB/137/2019 katika kituo cha polisi cha Komolo wilayani Simanjiro akilalamika kushambuliwa sehemu mbalimbali mwilini mwake.

Katika tukio hilo Philomena alimlalamikia mmewe kutokuwa mwaminifu kwenye ndoa yake baada ya kudaiwa kuchepuka na mwanamke aliyetambulika kwa majina ya Scolla Mollel.

Philomena alidai kwamba matatizo hayo yalianza pale mme wake alipomwajiri mwanamke huyo ambaye kwa sasa amezaa naye mtoto mmoja katika taasisi waliyoianzisha ya ECLAT Foundation kama mtunza fedha.

Taarifa za uhakika zinadai kwamba Toima alikabidhi silaha yake hivi karibuni mbele ya jeshi la polisi mkoani Arusha na kutakiwa kuripoti Mara kwa Mara.

Hatahivyo,taarifa hizo zimeeleza kwamba polisi wanaendelea kuchunguza jalada lililofunguliwa mbele ya jeshi hilo na endapo wakikamilisha watamfikisha kiongozi Huyo mstaafu mahakamani.

Pichani chini ni mkuu wa wilaya mstaafu nchini Peter Toima akiwa na mkewe .

Picha nyingine ni mwanamke anayedaiwa kuwa na mahusiano naye na kupelekea kuvuruga ndoa ya wawili hao,Scolla

Mollel.View attachment 1421409View attachment 1421410View attachment 1421411

Sent using Jamii Forums mobile app

Litakuwa Limbulu hili Masai lazima achanganyikiwe
 
Back
Top Bottom