Mkuu wa wilaya Mbeya awatusi waalimu

Alichoongea ni kweli. Nitajieni mwalimu wa primary mwenye walau div 3. Wote failure.
 
Kazi kweli kweli wakuu! Nchi hii haina mwenyewe ndio maana hata mkuu wa wilaya anatukana atakavyo kwasababu anajua hakuna atakachofanywa! Bosi wake JK naye ndio hivyo hivyo mara wanafunzi wapatao mimba wana kiherere mara wafanyakazi ni mbayu wayu! Hakuna utofauti ndio CCM hiyo ya sasa ile ya Nyerere ya uwajibikaji alikufanayo mwenyewe! Kamuhanda ameamrisha Polisi waue mwandishi wa habari, anapoulizwa kwamba anatakiwa kujiuzuru anasema ajiuzuru kwa lipi? Shame on you Dr Sigalla, JK, Kamuhanda and your CCM!!
 
Hata km aliomba msamaha ameshajulikana yukoje. Haoni mgombea uraisi wa usa asilimia 47 zimemshusha. Ameonyrsha jinsi alivyo halafu watu wakiandamana waambiwe wamekosea.
 
Dr Norman Sigalla, Mkuu Wa Wilaya Mbeya. "Ualimu Ni Fani Ya Watu Waliofeli Hivyo Hawana
Sababu Ya Kudai Nyongeza Ya Mishahara".

Ukuu wa wilaya ndo fani ya waliofaulu? Ufinyu wa fikra na kulewa vyeo vya kupewa baada ya kuwalamba wakuu wa meza miguu.
 
Huo udokta wake alifundishwa na walimu waliofeli kwa hiyo ina maana na yeye ni dokta aliyefeli. Ngoma droooo...!!

Ndani ya CCM kila mtu anajiita dokta ama profesa (mf. ma-Water Tall). Mwenye CV yake atuwekee hapa ndipo tunaweza kumjadili kama dokta au dokta wa ki-ccm -kama akina Nchimbi , Nagu, Mahanga (PhD za online).
 
Alichoongea ni kweli. Nitajieni mwalimu wa primary mwenye walau div 3. Wote failure.

Mbona wakuu wa wilaya na mikoa ni kazi ya walioshindwa kwenye kura za maoni na ubunge lakini wanalipwa vizuri? Manesi nao wana elimu gani tofauti na walimu? Tena tujiandae kuwa taifa la viwete muda mfupi ujao kwa kuchomwa sindano pasipostahili maana mpaka div 4 za 33 wanachaguliwa kusomea unesi, angalau ata ualimu wana limit ya paint 26.
 
Alichoongea ni kweli. Nitajieni mwalimu wa primary mwenye walau div 3. Wote failure.

Usamehewe bure kichwa yako na mkuu wa wilaya mwenye phd ya kupewa sawa tu. Unafikiria kwa ****** sio bure.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mbona wakuu wa wilaya na mikoa ni kazi ya walioshindwa kwenye kura za maoni na ubunge lakini wanalipwa vizuri? Manesi nao wana elimu gani tofauti na walimu? Tena tujiandae kuwa taifa la viwete muda mfupi ujao kwa kuchomwa sindano pasipostahili maana mpaka div 4 za 33 wanachaguliwa kusomea unesi, angalau ata ualimu wana limit ya paint 26.

Siyo manesi tu mkuu,na maafisa tabibu ukiwa na 4 ya 27 tu form four unaenda somea diploma ya uafisa tabibu
 
Siyo manesi tu mkuu,na maafisa tabibu ukiwa na 4 ya 27 tu form four unaenda somea diploma ya uafisa tabibu

Hawa jamaa sifa zao za kisiasa zitaangamiza hili taifawanalazimisha kila kijiji kiwe na zahanati ndio maana wanasombasomba hovyo wataalamu,subiri matokeo ya mtihani wa form two mwaka huu uone vichekesho vya shule za kata,kama kweli haki ikitendeka kuna shule zitakuwa na form three watatu tu na form two mia4.
 
Huyu DC mwehu. yeye anadhani anawatukana walimu kumbe anamtukana boss wake JK aliyekubali wenye pt 28 waende ualimu tena kwa mtindo wa vodafasta.
 
Huyu DC mwehu. yeye anadhani anawatukana walimu kumbe anamtukana boss wake JK aliyekubali wenye pt 28 waende ualimu tena kwa mtindo wa vodafasta.

Ana utani na first lady,ina maana hajui kuwa grade A ya mama ni tishio Lindi nzima mpaka amepita kwenye NEC bila kupingwa?
 
Kuna mwl mmoja namfahamu, elimu yake yakuunga unga. Advance amesoma 4yrs, baadae akaenda kuchukua degree SAUT. Wanafunzi wanamuita "mwalimu", wanategemea wanafunzi wapate A. Huyu nae anasimama anadai maslahi.

Huyu mkuu angepaswa aseme, waalimu wanapewa nafasi hizo kama fadhila hivyo wanapaswa kushukuru. Hawana pakwenda.

Waalimu wenyewe wanachofanya ni kutafsiri English to Kiswahili.
 
Usamehewe bure kichwa yako na mkuu wa wilaya mwenye phd ya kupewa sawa tu. Unafikiria kwa ****** sio bure.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

mleta mada anazungumzia waalimu. Kama unataka tuzungumzie manesi, anzisha uzi wako.
 
Back
Top Bottom