Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,817
- Thread starter
- #21
Je watoto wa huyo mzee wanasoma? wanafundishwa na nani? Madaraka yanawapa kiburi sana viongozi wetu
Wanasoma ughaibuni
Je watoto wa huyo mzee wanasoma? wanafundishwa na nani? Madaraka yanawapa kiburi sana viongozi wetu
mikela
Dr Norman Sigalla, Mkuu Wa Wilaya Mbeya. "Ualimu Ni Fani Ya Watu Waliofeli Hivyo Hawana
Sababu Ya Kudai Nyongeza Ya Mishahara".
Dr Norman Sigalla, Mkuu Wa Wilaya Mbeya. "Ualimu Ni Fani Ya Watu Waliofeli Hivyo Hawana
Sababu Ya Kudai Nyongeza Ya Mishahara".
this is the silliest doc i have ever seen,that is why he got married to the witch!!!!!
Dr Norman Sigalla, Mkuu Wa Wilaya Mbeya. "Ualimu Ni Fani Ya Watu Waliofeli Hivyo Hawana
Sababu Ya Kudai Nyongeza Ya Mishahara".
aliomba msamaha kwa kauli zake zote
Jina lake hilo(sigara)limempa saratani ya fikra.Anaona ukuu wa wilaya ndi kafikaaa.Halafu huyu ndo mwakilishi wa rais katika wilaya,
WANAFUNZI WAKIFELI ANALAUMU WAKATI KESHATOA KAULI ZA KUWAVUNJA MOYO WAFANYAKAZI!
SAWA TUAMINI NIKWELI NI FANI YA WALIOFELI JE? HAWANA MAHITAJI SIMPLY KWA SABABU WAMEFELI?
HAKIKA UKIWA CCM HATA UKIWA DR HUWEZI TOFAUTISHWA NA DARASA LA SABA KWA UJENGAJI WA HOJA....