Je wanajamvi hii imekaaje Mkuu wa Wilaya kumkwida Diwani kwenye foleni ya chakula mbele ya WAZIRI MKUU, ni kujipendekeza au ni utendaji uliotukuka?
Hii imetokea kwenye moja ya ziara za pm. Chanzo cha vurugu zao hakijanaswa bado.
huyo mkuu wa wilaya ni BATCH moja na mrisho gambo wa korogwe.
Je wanajamvi hii imekaaje Mkuu wa Wilaya kumkwida Diwani kwenye foleni ya chakula mbele ya WAZIRI MKUU, ni kujipendekeza au ni utendaji uliotukuka?
Hii imetokea kwenye moja ya ziara za pm. Chanzo cha vurugu zao hakijanaswa bado.