Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,937
Nimeshangazwa na post ya Mkuu wa Wilaya leo huko Instagram akijigamba kuwa wana mradi wa maji Kisarawe wenye thamani ya Billion 2 ambapo zaidi ya Billion 1 na Milion 700 tayari zishalipwa kwa mkandarasi na mkandarasi yuko site, ajabu anakuja kuambqtanisha clip ikionyesha mkandarasi akifanya hiyo kazi ata bomba hamna ikiwa washamlipa zaidi ya asilimia 90 huyo mkandarasi!
Huwezi kulipa hela zote hizo alafu hakuna kinachoonekana.
Huwezi kulipa hela zote hizo alafu hakuna kinachoonekana.