Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,967
Wataalam wa katiba naomba mnijuze
1. Zipi hasa kazi za mkuu wa wilaya?
2. Anatakiwa awe na sifa zipi hasa ku qualify kwa hiyo kazi?
3. Je anakuwa na WORKPLAN ya shuguli zake? Yaani kwa mfano mkuu wa wilaya akiingia ofisini asubuhi hadi anatoka jioni anakuwa amefanya kazi zipi na zipi? (in a normal business day)
4. Ufanisi wa mkuu wa wilaya unapimwa vipi?
Nimefikia hatua ya kuuliza hivi baada ya kupitia orodha ya wakuu wa wilaya na kukuta wana sifa, uzoefu na viwango tofauti vya elimu. Wapo wanajeshi, waandishi wa habari, wafanyabiashara, wakulima na watumishi wa kada mbalimbali. Kwa watu wa sifa mbalimbali kuteuliwa kufanya kazi ya AINA MOJA ndio imenipelekea kutaka kudadisi hapa jukwaani kazi hasa ya mkuu wa wilaya. Kama ni kuongoza ulinzi na usalama kwa nini wasiwe wanajeshi na polisi wastaafu, kama ni kuhamasisha Kilimo kwa nini wasiwe mabwana shamba, kama ni kukuza biashara kwa nini wasiwe wataalam wa biashara??? Nimejiuliza weeeee na kushindwa kupata jibu.
Pia kwa serikali kulipa mishahara ya kima cha juu kwa watumishi wapya 133, na kuwanunulia VX V8 133 kwa ajili ya kufanyia shuguli zao ni BUSINESS DECISION ya hali ya juu sana. Je kutakuwa na RETURN ON INVESTMENT inayotokana na kodi zetu kutoka kwa hawa wakuu? Naomba nisaidiwe ndugu zangu wanajamvi...
1. Zipi hasa kazi za mkuu wa wilaya?
2. Anatakiwa awe na sifa zipi hasa ku qualify kwa hiyo kazi?
3. Je anakuwa na WORKPLAN ya shuguli zake? Yaani kwa mfano mkuu wa wilaya akiingia ofisini asubuhi hadi anatoka jioni anakuwa amefanya kazi zipi na zipi? (in a normal business day)
4. Ufanisi wa mkuu wa wilaya unapimwa vipi?
Nimefikia hatua ya kuuliza hivi baada ya kupitia orodha ya wakuu wa wilaya na kukuta wana sifa, uzoefu na viwango tofauti vya elimu. Wapo wanajeshi, waandishi wa habari, wafanyabiashara, wakulima na watumishi wa kada mbalimbali. Kwa watu wa sifa mbalimbali kuteuliwa kufanya kazi ya AINA MOJA ndio imenipelekea kutaka kudadisi hapa jukwaani kazi hasa ya mkuu wa wilaya. Kama ni kuongoza ulinzi na usalama kwa nini wasiwe wanajeshi na polisi wastaafu, kama ni kuhamasisha Kilimo kwa nini wasiwe mabwana shamba, kama ni kukuza biashara kwa nini wasiwe wataalam wa biashara??? Nimejiuliza weeeee na kushindwa kupata jibu.
Pia kwa serikali kulipa mishahara ya kima cha juu kwa watumishi wapya 133, na kuwanunulia VX V8 133 kwa ajili ya kufanyia shuguli zao ni BUSINESS DECISION ya hali ya juu sana. Je kutakuwa na RETURN ON INVESTMENT inayotokana na kodi zetu kutoka kwa hawa wakuu? Naomba nisaidiwe ndugu zangu wanajamvi...