Mkuu wa Wilaya KAZI ZAKE ni zipi?

Ulukolokwitanga

JF-Expert Member
Sep 18, 2010
8,396
7,967
Wataalam wa katiba naomba mnijuze
1. Zipi hasa kazi za mkuu wa wilaya?
2. Anatakiwa awe na sifa zipi hasa ku qualify kwa hiyo kazi?
3. Je anakuwa na WORKPLAN ya shuguli zake? Yaani kwa mfano mkuu wa wilaya akiingia ofisini asubuhi hadi anatoka jioni anakuwa amefanya kazi zipi na zipi? (in a normal business day)
4. Ufanisi wa mkuu wa wilaya unapimwa vipi?

Nimefikia hatua ya kuuliza hivi baada ya kupitia orodha ya wakuu wa wilaya na kukuta wana sifa, uzoefu na viwango tofauti vya elimu. Wapo wanajeshi, waandishi wa habari, wafanyabiashara, wakulima na watumishi wa kada mbalimbali. Kwa watu wa sifa mbalimbali kuteuliwa kufanya kazi ya AINA MOJA ndio imenipelekea kutaka kudadisi hapa jukwaani kazi hasa ya mkuu wa wilaya. Kama ni kuongoza ulinzi na usalama kwa nini wasiwe wanajeshi na polisi wastaafu, kama ni kuhamasisha Kilimo kwa nini wasiwe mabwana shamba, kama ni kukuza biashara kwa nini wasiwe wataalam wa biashara??? Nimejiuliza weeeee na kushindwa kupata jibu.

Pia kwa serikali kulipa mishahara ya kima cha juu kwa watumishi wapya 133, na kuwanunulia VX V8 133 kwa ajili ya kufanyia shuguli zao ni BUSINESS DECISION ya hali ya juu sana. Je kutakuwa na RETURN ON INVESTMENT inayotokana na kodi zetu kutoka kwa hawa wakuu? Naomba nisaidiwe ndugu zangu wanajamvi...
 
Kazi zake ni kula hela za serikali za mitaa akisaidiana na mkurugenzi. Na pia kumwakilisha Rais katika ulaji huo wa hela na kuuza raslimali za wilaya husika kwa mhindi,mwarabu,mzungu na kama kuna mchina anajiweza anakaribishwa pia.

Hii iko kwenye ilani ya Magamba
 
Kazi zake ni kula hela za serikali za mitaa akisaidiana na mkurugenzi. Na pia kumwakilisha Rais katika ulaji huo wa hela na kuuza raslimali za wilaya husika kwa mhindi,mwarabu,mzungu na kama kuna mchina anajiweza anakaribishwa pia.

Hii iko kwenye ilani ya Magamba
Niliwahi kushuhudia katika halmashari flani mkuu wa Wilaya anaomba mafuta ya gari kwa mkurugenzi na akapewa, Sijui yalitoka kifungu gani. Pinda jana amesema wakuu wa wilaya eti watasaidia kuwabana wakurugenzi mafisadi, sijui kama hii iko kwenye Katiba
 
Hivi hakuna Mkuu wa wilaya asiye na wilaya maalum??

JK haishi vituko, hakawii kumchagua Mkuu wa Wilaya asiye na wilaya maalum!!!

Yani anakuwa na mtu wake ambaye amekosa pa kumuweka, anampa tu cheo cha ajabu ajabu!!
 
Niliwahi kushuhudia katika halmashari flani mkuu wa Wilaya anaomba mafuta ya gari kwa mkurugenzi na akapewa, Sijui yalitoka kifungu gani. Pinda jana amesema wakuu wa wilaya eti watasaidia kuwabana wakurugenzi mafisadi, sijui kama hii iko kwenye Katiba
Hahahahaaa!!!!!
Kwahiyo kabla ya uteuzi huu, kulikuwa hakuna ma DC mpaka Wakurugenzi wakatafuna hela??

:loco:
 
Hivi hakuna Mkuu wa wilaya asiye na wilaya maalum??

JK haishi vituko, hakawii kumchagua Mkuu wa Wilaya asiye na wilaya maalum!!!

Yani anakuwa na mtu wake ambaye amekosa pa kumuweka, anampa tu cheo cha ajabu ajabu!!
Ha ha haaaa, hii itakuwa kali ya kidunia. Lazima itaingia kwenye Guiness Book of Records
 
Hahahahaaa!!!!!
Kwahiyo kabla ya uteuzi huu, kulikuwa hakuna ma DC mpaka Wakurugenzi wakatafuna hela??

:loco:


Mara nyingi nyingi tunaambiwa kuwa tunaposema maneno yetu tukumbuke kama yanaendana na hali halisi !
 
Kimsingi hutambuliwa kama
1. Mwakilishi wa Rais ngazi ya wilaya
2.Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya wilaya
3. M/
 
Kuhamasisha michango ya mwenge,,..
Inakuwaje kodi zetu kwa mabilioni zitumike kuhamasisha michango ya mwenge wakati kuna baadhi ya maeneo Mwenge huwa unachangia kuenea kwa UKIMWI kutokana na ngono zinazofanyika mkeshani. Katiba mpya inabidi iwatolee macho hawa ma DC ikiwezekana hii nafsi isiwepo kwani haina tija kabisa
 
Hivi hakuna Mkuu wa wilaya asiye na wilaya maalum??

JK haishi vituko, hakawii kumchagua Mkuu wa Wilaya asiye na wilaya maalum!!!

Yani anakuwa na mtu wake ambaye amekosa pa kumuweka, anampa tu cheo cha ajabu ajabu!!
FANCY NKUHI kutoka katika ulimbwende hadi uDC
 
Wataalam wa katiba naomba mnijuze
1. Zipi hasa kazi za mkuu wa wilaya?
2. Anatakiwa awe na sifa zipi hasa ku qualify kwa hiyo kazi?
3. Je anakuwa na WORKPLAN ya shuguli zake? Yaani kwa mfano mkuu wa wilaya akiingia ofisini asubuhi hadi anatoka jioni anakuwa amefanya kazi zipi na zipi? (in a normal business day)
4. Ufanisi wa mkuu wa wilaya unapimwa vipi?

Nimefikia hatua ya kuuliza hivi baada ya kupitia orodha ya wakuu wa wilaya na kukuta wana sifa, uzoefu na viwango tofauti vya elimu. Wapo wanajeshi, waandishi wa habari, wafanyabiashara, wakulima na watumishi wa kada mbalimbali. Kwa watu wa sifa mbalimbali kuteuliwa kufanya kazi ya AINA MOJA ndio imenipelekea kutaka kudadisi hapa jukwaani kazi hasa ya mkuu wa wilaya. Kama ni kuongoza ulinzi na usalama kwa nini wasiwe wanajeshi na polisi wastaafu, kama ni kuhamasisha Kilimo kwa nini wasiwe mabwana shamba, kama ni kukuza biashara kwa nini wasiwe wataalam wa biashara??? Nimejiuliza weeeee na kushindwa kupata jibu.

Pia kwa serikali kulipa mishahara ya kima cha juu kwa watumishi wapya 133, na kuwanunulia VX V8 133 kwa ajili ya kufanyia shuguli zao ni BUSINESS DECISION ya hali ya juu sana. Je kutakuwa na RETURN ON INVESTMENT inayotokana na kodi zetu kutoka kwa hawa wakuu? Naomba nisaidiwe ndugu zangu wanajamvi...

Ndg. Umeongea neno la msingi na maana kubwa. Nadhani hawa wanazidi kutumia pesa ya mlipa kodi kwa kwenda kuanagalia Aljazeera,CNN,Press,Euronews,MSNBC,Bloomberg etc maana ofisini wana conference table na Samsung Flat scrns. Plus V8 TD Land Cruiser SUV type.
 
Wataalam wa katiba naomba mnijuze
1. Zipi hasa kazi za mkuu wa wilaya?
2. Anatakiwa awe na sifa zipi hasa ku qualify kwa hiyo kazi?
3. Je anakuwa na WORKPLAN ya shuguli zake? Yaani kwa mfano mkuu wa wilaya akiingia ofisini asubuhi hadi anatoka jioni anakuwa amefanya kazi zipi na zipi? (in a normal business day)
4. Ufanisi wa mkuu wa wilaya unapimwa vipi?

Nimefikia hatua ya kuuliza hivi baada ya kupitia orodha ya wakuu wa wilaya na kukuta wana sifa, uzoefu na viwango tofauti vya elimu. Wapo wanajeshi, waandishi wa habari, wafanyabiashara, wakulima na watumishi wa kada mbalimbali. Kwa watu wa sifa mbalimbali kuteuliwa kufanya kazi ya AINA MOJA ndio imenipelekea kutaka kudadisi hapa jukwaani kazi hasa ya mkuu wa wilaya. Kama ni kuongoza ulinzi na usalama kwa nini wasiwe wanajeshi na polisi wastaafu, kama ni kuhamasisha Kilimo kwa nini wasiwe mabwana shamba, kama ni kukuza biashara kwa nini wasiwe wataalam wa biashara??? Nimejiuliza weeeee na kushindwa kupata jibu.

Pia kwa serikali kulipa mishahara ya kima cha juu kwa watumishi wapya 133, na kuwanunulia VX V8 133 kwa ajili ya kufanyia shuguli zao ni BUSINESS DECISION ya hali ya juu sana. Je kutakuwa na RETURN ON INVESTMENT inayotokana na kodi zetu kutoka kwa hawa wakuu? Naomba nisaidiwe ndugu zangu wanajamvi...

Mkuu wa wilaya kazi zake kubwa ni
1.kulinda maslahi ya Chama chake,
2.Kudumaza maendeleo ya wananchi
3.Kuchochea migogoro katika jamii.
4.Kulinda maslahi ya aliyemteua.
 
Sijafanikiwa kuiona iyo list,ila i waz asking kama yule DC wa IGUNGA kama bado yupo au kapigwa chini??
 
Ma DC hawana kazi kwa TAIFA, yaani hawana kazi ya kusaidia wananchi tofauti na kuchelewesha wananchi hao kupata suluhu ya matatizo yao. WANANCHI wanaamini kuwa kuna kitu DC anaweza kumsaidia, wakati ukweli ni kuwa hakuna. WANANCHI kwa kutumia imani hiyo, wanapeleka matatizo yao kwa ma DC. MADC nao hawawaambii wananchi kuwa 'mimi sina cha kukusaidia', DC anakaa kimya, lakini hakuna ananchomsaidia MWANANCHI mwenye tatizo. MATATIZO yanarundikana na wananchi wanaanza kuichukia serikali. MKURUGENZI ndiye mwenye msaada kwa wananchi, anatatua matatizo yao.

ILA kwa MAGAMBA, oooh DC anakazi nyingi sana: (1) kuchakachua matokeo; (2) kukandamiza upinzani; (3) kukusanya na kuwasilisha taarifa (KWA KUSHIRIKIANA NA TISS, DSO) za uongo, umbea nk za watumishi wanaoipinga CCM Wilayani kwake na kuiwasilisha kwa MAGAMBA; (4) njia ya kupitisha pesa za SERIKALI/WANANCHI kwenda kwa MAGAMBA; (5) mtetezi wa sera za MAGAMBA; na (6) 'viburudisho' vya wakubwa ktk MAGAMBA wakati wa ziara. KAZI ni nyingi ...
 
hawa ni wanachama wa CCM wanaopewa ulaji ili kukipigania chama kwa ngazi yao ,kazi yao kubwa ni kula pesa za halmashauri na kula chakula cha bure toka kwa wakulima na nyama ya bure toka kwa wafugaji.wote ni wana CCM hakuna utendaji wala uzalendo ni usanii tu lakini siku zao zinahesabika...................2015!?
 
Hawahitajiki kabisa, Mbunge na DAS na mkurugenzi wanatosha. Hawa ni makada tu wa siasa uchwara. Restructuring is inevitable. Afadhali hizi nafasi zingeongezwa shule za kata. Walimu wakaungezewa marupurupu, sio hawa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom