kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Nimemsikia MKUU WA WILAYA YA ARUMERU akizungumza kwenye vyombo vya habari akijipongeza kumzuia mtoto kufanya mtahani lakini pia akilazimisha kuwa taarifa hizo alizipata kwa kufanya uchunguzi wakati mama mzazi anakiri ndiye aliyefika kwa mkuu wa Wilaya kuomba kibali Cha mtoto kurudi shule.
Ni Jambo la kusikitisha kwa kiongozi huyu kushindwa kuelewa kwamba mipango na shinikizo lake lililopelekea binti kutoa mimba lingeweza kupelekea binti huyo kupoteza maisha. Badala ya kufanya kazi Kama mzazi anafanya kazi kwa msukumo binafsi wa kutetea nafasi yake
Mkuu wa Wilaya anapaswa kuwa na Siri, mama wa watu kaenda kwake kwa uchungu wa yaliyompata mwanaye badala ya kuweka Siri unamkamata na kumwita waandishi wa habari.
Tunakwenda wapi?
Ni Jambo la kusikitisha kwa kiongozi huyu kushindwa kuelewa kwamba mipango na shinikizo lake lililopelekea binti kutoa mimba lingeweza kupelekea binti huyo kupoteza maisha. Badala ya kufanya kazi Kama mzazi anafanya kazi kwa msukumo binafsi wa kutetea nafasi yake
Mkuu wa Wilaya anapaswa kuwa na Siri, mama wa watu kaenda kwake kwa uchungu wa yaliyompata mwanaye badala ya kuweka Siri unamkamata na kumwita waandishi wa habari.
Tunakwenda wapi?