MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Chalii amenijuza kuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe ameingia darasani kufundisha hesabu za kujumlisha darasa la saba na maumbo darasa la sita kufuatia mgomo wa walimu. Mkuu huyo aliingia kupiga nondo hizo katika shule ya msingi Mazoezi-Mbeza iliyopo katikati ya mji wa Korogwe.