Dindira
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 2,912
- 3,462
Serikali inazo dawa na wewe mpemba ?We ndo mjinga! Ulitaka auze dawa za serikali au
Serikali inazo dawa na wewe mpemba ?We ndo mjinga! Ulitaka auze dawa za serikali au
Rais ndiyo alisema hivyo mimi nimemnukuu tushetani haishi kwa shida hata siku 1 tunadanganyana tu, shetani anakula bata ile mbaya,
Kinachoniuma zaidi, katoka kumsaidia mgonjwa kujifungua na amekutwa anajaza form, ikimaanisha kakutwa akiwa anatekeleza majukumu yake. Sijajua atashtakiwa kwa kosa la kuhifashi nguo kwenye makabati au kufanya biashara hospitali.
Nna dhambi nyingi napambana nazo lakini hii ya kuwachukia polisi itanipeleka kuzimu nisipokua makini. Nawachukia polisi sana, najua sio jambo zuri lakini siwezi kuficha chuki yangu dhidi yao.
Acheni kutetea ujinga wa huyo nesi!
Sasa polisi ulitaka wakatae kutii ORDER ya boss wao ?Kinachoniuma zaidi, katoka kumsaidia mgonjwa kujifungua na amekutwa anajaza form, ikimaanisha kakutwa akiwa anatekeleza majukumu yake. Sijajua atashtakiwa kwa kosa la kuhifashi nguo kwenye makabati au kufanya biashara hospitali.
Nna dhambi nyingi napambana nazo lakini hii ya kuwachukia polisi itanipeleka kuzimu nisipokua makini. Nawachukia polisi sana, najua sio jambo zuri lakini siwezi kuficha chuki yangu dhidi yao.
Watanganyika bado wanaendeshwa kwa hisia, wamezoea kuishi kama wanyama yani bila kufuata sheria, sheria ikifuatwa wanaanza kulalamika na kupinga. Hawajui wanataka niniAcheni kutetea ujinga wa huyo nesi!
Kuna watu hata hawajui mtt akizaliwa anapaswa kuvaa nn hana hata muda wa kwenda kununua ila anajua mke wngu akifika hosp nitapata hii huduma pale pale ,,inarahisisha sanaMbona hata huku kwetu manesi wanauzia sana wazazi nguo za watoto wachanga?? Je kuna wagonjwa waliolalamika?? Ss tunaona wanatusaidia, tunarudi nyumbani mtoto kapendeza kavaa soksi, kofia na baby shawel nzuriii!!!
Basi tutakamatwa wengi. Ofisi ipi wafanyakazi hawafanyi biashara ndogo ndogo?Kosa lipo, shida ni namna alivyokamatwa nakufungwa pingu kwa nyuma kama jambazi hatari.
Kosa la huyo nesi ni lipi....mkuu mkeo ashawahi jifungua??tuanzie hapo kwanzaKosa ni kosa. Kutoshughulikia makosa mengine hakualalishi makosa mengine.
Huyu nesi kavunja sheria na wajibu wake wa eneo la kazi, sheria ifuate mkondo wake.
Watanganyika bado mnaendeshwa kwa hisia, acheni kutetea ujinga.
Ujinga upi?Acheni kutetea ujinga wa huyo nesi!
Huoni kosa au unatetea tu? Wewe unaweza kwenda kuuza vitu unapofanya kazi?Kosa la huyo nesi ni lipi....mkuu mkeo ashawahi jifungua??tuanzie hapo kwanza