Mkuu wa Upelelezi Arusha: Niliona mapungufu kwa Sabaya, alikuwa mteule wa Rais sikufanya chochote

Paf

JF-Expert Member
May 25, 2021
1,703
3,304
Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.

Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.

Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.

KATIBA INAHITAJIKA?
 
Back
Top Bottom