Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,786
- 156,908
Sio tu kwa Sabaya, huwa nawachukia mataga ambao wenzao upinzani wananyanyaswa wao wanashangilia...UTU hauna mbadala wa chama wala itikadi. Tujitahidi kukemea uovu hata kama babako kaufanyaHuko nyuma sikuwahi kuongelea ishu ya ndugu yangu kamarade Sabaya ...kwa ukakasi wa kesi yenyewe....