Mkuu wa Upelelezi Arusha: Niliona mapungufu kwa Sabaya, alikuwa mteule wa Rais sikufanya chochote

..halafu kuna watu wanasema CCM ina hazina ya viongozi.

..CCM wangekuwa na hazina viongozi wasingemuacha kijana wao, kada wao, akaharibikiwa kiasi hicho.

..Walezi wa Sabaya katika chama na serikali walikuwa wapi kumrudisha kijana wao ktk mstari?

..Na wakati wa Magufuli kulizuka tabia ya vijana kuwadharau na kuwashutumu wazee waliowatangulia ktk uongozi.
 
Hata ikiwepo KATIBA MPYA bado itasimamiwa na wanadamu....

Kubwa ni umuhimu wa umakini katika VETTING kuanzia juu kabisa mpaka chini....

#KaziIendelee
Huelewi maana ya katiba mpya ina create check and balance,inajisimamia mfano wabunge anaweza kataa mswada wa serikali na ukawa hivyo kwani rahisi hawezi kuwaita kwenye kikao kama mwenyekiti wa chama na kuwalazimisha.
Wananchi wakipiga jura kuchagua viongozi serikali haiwezi inglis kwani tume inakuwa chini ya judiciary kiongozi wakeni jailed mkuu ambaye rahisi hanamkonokuwateua wala kuwapangia namna yakuhukumu na mambo mengi mazuritu.
 
Hata ikiwepo KATIBA MPYA bado itasimamiwa na wanadamu....

Kubwa ni umuhimu wa umakini katika VETTING kuanzia juu kabisa mpaka chini....

#KaziIendelee
Angalau wewe unauona mwanga! Katiba ni kitabu kama vilivyo vingine, kama hii iliyopo haiheshimiwi, hiyo tunayoitaka utekelezaji wake utalindwa na nani?
 
Ni ngumu mtu kuelewa nini maana ya siasa, kwa mtu anaejua maana ya siasa sabaya hana kesi. Endeleeni na ujinga tu kuna siku watamuachia wenyewe.

Kama sio siasa mbona hakuna anaemgusa makonda?
Kuipotezea mahakama muda ni ujinga hayo makesi ya kipuuzi yafutwe.

Utawala ule umetoka bado hamuelewi somo? Kesi za kipuuzi sana hizi, huyu mama nae kha!
 
Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.

Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.

Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.

KATIBA INAHITAJIKA?
Watuletee katibaaaa,watuletee katibaaa,watuletee katibaaa , kwa mwiito wa Gwajiboy.
 
Kwa jibu hili katiba inahitajika. Raisi apunguziwe meno, mahakama iongezewe.
Nyie mnataka katiba ipi mkuu? Katiba itakayomtaka Rais aingilie Uhuru na utendaji wa mahakama? Katiba itakayomtaka Rais aingilie utendaji wa bunge na kuwaondoa wabunge Kama mnavyotaka kwa Mh. Rais Samia aamuru etii akina Mdee wafukuzwe bungeni?
 
Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.

Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.

Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.

KATIBA INAHITAJIKA?
Mjumbe mbona unajiuliuza majibu? Kitu gani huelewi hapo? Polisi anasema hakuridhika na Sabaya, hasa baada ya standard procedure ya kuchukua statement. Ni nini huelewi hapo? Katiba inatoka wapi tena? Sasa hivi Sabaya kashitakiwa, yuko jela, mbona katiba ni hiyo hiyo? Neno mteule haliepukiki, ni lazima atoke Chama Tawala, lisikuume, wewe fuata haki.
 
Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.

Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.

Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.

KATIBA INAHITAJIKA?
wewe unaema uongo na amri za Mungu zipo kwa hiyo Mungu hayupo?
 
Ndugu luckline nimeona mapovu yako,nikuhakikishie tu General Lengai Ole Sabaya hachomoki kwenye Kesi hii lazima afungwe,na kama huamini chukua namba hii ya huyo OC CID GWAKISA akupe taarifa za huyo unayemtetea,hakika povu hilo litakukauka(0769788608)
 
Luckline unatetea ujinga na upuuzi,yaani DC atoke Hai(Kilimanjaro)aje akamate watuhumiwa Arusha Mjini eneo ambalo sio lake kiutawala,huoni tu dhamira ovu hapo!!!unafikiri kwa kutumia kichwa au makalio yako??
 
Akitoa ushahidi wa kesi ya Sabaya, Mkuu wa upelelezi amesema alipigiwa simu na aliyekuwa DC wa Arusha Kenani Kihongosi akiniarifu kuwa DC wa Hai ana watuhumiwa hapa Arusha hivyo nimpe ushirikiano.

Mara baada ya kufika ofisini kwangu akiwa na watuhumiwa wawili niliambiwa hawa ni wahujumu uchumi, nikamuomba aandike maelezo, Sabaya akagoma. Niligundua kuna mapungufu kwa mshitakiwa No 1(Sabaya) hivyo sikuweza kufanya lolote kwa kuwa mshitakiwa No 1 alikuwa mteule wa Rais.

Mteule wa Rais aweza vunja sheria badala ya kusimamia sheria na akapoteza ushahidi.

KATIBA INAHITAJIKA?
like father like son.
 
Back
Top Bottom