Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,198
- 5,363
huyo mutharika anataka ziwa lore name amesema hana mazungumzo na yeyote kwani ni Mali ya Malawi
Kwa hiyo tufanyaje?? Ashinde aje alichukue,ila haki yake apate.
huyo mutharika anataka ziwa lore name amesema hana mazungumzo na yeyote kwani ni Mali ya Malawi
Maisha ndivyo yalivyo,nakumbuka nilipojiunga na JKT 'Op'Kambarage pale Mafinga, Afande alikuwa anashangaa Form six hajui kufungua bunduki!!yaani rais mzima ni mbumbumbu wa sheria kiasi hiki,
Mama Joyce Banda kachemka....katiba ya Malawi (2006) hairuhusu mtu yeyote kuingilia TUME YA UCHAGUZI kwenye shughuli zake...sehemu ya Saba ya katiba ya Malawi inayohusu Uchaguzi inasomeka hivi:
"Powers and functions 76: ........
3. Any person who has petitioned or complained to the Electoral Commission shall have a right to appeal to the High Court against determinations made under subsections (2) (c) and (2) (d).
4. The Electoral Commission shall exercise its powers, functions and duties under this section independent of any direction or interference by other authority or any person.
............................."
Nilitaka kushangaa hawa jamaa wanasheria za aina gani kama mgombea anauwezo wa kuahirisha uchaguzi. La kuhama chama ukiwa rais lilinishangaza hili la huyu mama nalo liliniacha hoi.