Mkuu wa shule awaumiza vichwa viongozi jimboni kwa naibu spika!!

BRAND

JF-Expert Member
Jun 2, 2013
295
249
Ukistaajabia ya musa utayaona ya filauni,sasa nimeanza kuamini usemi huu! Jamani tanzania nchi yangu ina vituko vilivyo pitiliza! Mkuu wa shule ya sekondari ya kata iitwayo ndalibo sekondari anaeitwa lucas masanzu anawaumiza vichwa viongozi wa elimu walayani kongwa mkoani dodoma kwa mambo yake yafuatayo!habari za kuamini kutoka kwa wasamalia wema eneo inapopatikana shule na nilizozithibitisha mimi kwanjia zangu na pia zisha andikwa gazetini mwezi mmoja uoputa zinatiririka kama ifuatavyo!!!kwanza kabisa alikula pesa za wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka wa jana ilingulika baada ya matokeo kutoka kwa mara ya kwanza kabla ya kufutwa na serikali,baadhi ya wanafunz waliandamana hadi shuleni wakiwa na wazazi wao,alipobanwa sana alikri makosa na kuahidi kulipa fedha hizo baraza la mitihani tena na faini juu kwa mujibu wa baraza la mitihani pindi matokeo yanapo kuwa yametoka!huyo mkuu wa shule alilipa na matokeo yakatoka!! Kali kuliko yote iliyonifanya nilete huu uzi ni hii hapa!viongozi wa elimu walipo fanya utafiti waligundua kuwa amekula tena pesa za ada za kidato cha nne wa mwaka wanaotarajia kufanya mtihani safari. hii amekula na wale wa kidato cha pili alipoulizwa alijibu kama alivyotaka tena kwa ujasiri! Chakushangaza zaidi alipo letewa barua ya kuondolewa ukuu wa shule aligoma na kukataa kukabidhi ofisi kwa mkuu mpya,wiki iliyopita viongozi wa elimu mara mbili walienda shuleni hapo bila ya mafanikio tena wakiwa na mkuu mpya!raia wanajiuliza anategemea nini kama anaweza kufanya hivyo mkuu huyo mwenye diploma tu ya ualimu?pia viongozi watafanyaje tena?wataenda tena kumtoa au ndo wameshindwa na mtu huyo anaeweza kumjibu mwajiri wake apendavyo!NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA NAWACHUKIA VIONGOZI WEZI!!
 
Ukistaajabia ya musa utayaona ya filauni,sasa nimeanza kuamini usemi huu! Jamani tanzania nchi yangu ina vituko vilivyo pitiliza! Mkuu wa shule ya sekondari ya kata iitwayo ndalibo sekondari anaeitwa lucas masanzu anawaumiza vichwa viongozi wa elimu walayani kongwa mkoani dodoma kwa mambo yake yafuatayo!habari za kuamini kutoka kwa wasamalia wema eneo inapopatikana shule na nilizozithibitisha mimi kwanjia zangu na pia zisha andikwa gazetini mwezi mmoja uoputa zinatiririka kama ifuatavyo!!!kwanza kabisa alikula pesa za wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka wa jana ilingulika baada ya matokeo kutoka kwa mara ya kwanza kabla ya kufutwa na serikali,baadhi ya wanafunz waliandamana hadi shuleni wakiwa na wazazi wao,alipobanwa sana alikri makosa na kuahidi kulipa fedha hizo baraza la mitihani tena na faini juu kwa mujibu wa baraza la mitihani pindi matokeo yanapo kuwa yametoka!huyo mkuu wa shule alilipa na matokeo yakatoka!! Kali kuliko yote iliyonifanya nilete huu uzi ni hii hapa!viongozi wa elimu walipo fanya utafiti waligundua kuwa amekula tena pesa za ada za kidato cha nne wa mwaka wanaotarajia kufanya mtihani safari. hii amekula na wale wa kidato cha pili alipoulizwa alijibu kama alivyotaka tena kwa ujasiri! Chakushangaza zaidi alipo letewa barua ya kuondolewa ukuu wa shule aligoma na kukataa kukabidhi ofisi kwa mkuu mpya,wiki iliyopita viongozi wa elimu mara mbili walienda shuleni hapo bila ya mafanikio tena wakiwa na mkuu mpya!raia wanajiuliza anategemea nini kama anaweza kufanya hivyo mkuu huyo mwenye diploma tu ya ualimu?pia viongozi watafanyaje tena?wataenda tena kumtoa au ndo wameshindwa na mtu huyo anaeweza kumjibu mwajiri wake apendavyo!NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA NAWACHUKIA VIONGOZI WEZI!!
Na wewe ni nani katika hao viongozi,..
 
Ukistaajabia ya musa utayaona ya filauni,sasa nimeanza kuamini usemi huu! Jamani tanzania nchi yangu ina vituko vilivyo pitiliza! Mkuu wa shule ya sekondari ya kata iitwayo ndalibo sekondari anaeitwa lucas masanzu anawaumiza vichwa viongozi wa elimu walayani kongwa mkoani dodoma kwa mambo yake yafuatayo!habari za kuamini kutoka kwa wasamalia wema eneo inapopatikana shule na nilizozithibitisha mimi kwanjia zangu na pia zisha andikwa gazetini mwezi mmoja uoputa zinatiririka kama ifuatavyo!!!kwanza kabisa alikula pesa za wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka wa jana ilingulika baada ya matokeo kutoka kwa mara ya kwanza kabla ya kufutwa na serikali,baadhi ya wanafunz waliandamana hadi shuleni wakiwa na wazazi wao,alipobanwa sana alikri makosa na kuahidi kulipa fedha hizo baraza la mitihani tena na faini juu kwa mujibu wa baraza la mitihani pindi matokeo yanapo kuwa yametoka!huyo mkuu wa shule alilipa na matokeo yakatoka!! Kali kuliko yote iliyonifanya nilete huu uzi ni hii hapa!viongozi wa elimu walipo fanya utafiti waligundua kuwa amekula tena pesa za ada za kidato cha nne wa mwaka wanaotarajia kufanya mtihani safari. hii amekula na wale wa kidato cha pili alipoulizwa alijibu kama alivyotaka tena kwa ujasiri! Chakushangaza zaidi alipo letewa barua ya kuondolewa ukuu wa shule aligoma na kukataa kukabidhi ofisi kwa mkuu mpya,wiki iliyopita viongozi wa elimu mara mbili walienda shuleni hapo bila ya mafanikio tena wakiwa na mkuu mpya!raia wanajiuliza anategemea nini kama anaweza kufanya hivyo mkuu huyo mwenye diploma tu ya ualimu?pia viongozi watafanyaje tena?wataenda tena kumtoa au ndo wameshindwa na mtu huyo anaeweza kumjibu mwajiri wake apendavyo!NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA NAWACHUKIA VIONGOZI WEZI!!

kwa lugha yenu ya kigogo hapo kwenye blue ni majani( babada ya kusafisha shamba kabla ya kuchoma) kama sikosei so inawezekana mkuu anakula majaji aka wida, aka msuba, aka sigara zembe
 
dodoma kuna mambo stendi ilihamishiwa nane nane soon watu wakarudi town hakuna kilichochukuliwa ok stend ya kibaigwa imekufa then mnategemea nini
 
Kwa sasa mjadala nyeti na muhimu zaidi ya kila kitu ni KATIBA MPYA!!.. Sasa wewe unaanzisha immaterial discussion hapa juu ya mwalimu mmoja wa kashule ka- kata.Atarudisha tu hiyo hela ya mitihani kwa sababu wanafunzi hao ni lazima wafanye mtihani!!.After all hela hailiwi labda aliibadilishia matumizi na kuzipeleka ktk mpango wa BIG RESULT NOW ktk shule yake.......ndiyo maana huwa analipa !!. Peleka hii kitu kwenye Jukwaa la Elimu ijadiliwe huko kama ina mashiko

Pia inawezekana kabisa wewe mwenyewe una bifu na huyo jamaa ndo maana umekuja na lugha ya "AMEKULA HELA" kana kwamba fedha inatafunwa kama biscuit!!
 
mkuu edit basi kwa kuweka paragraph, kwani inaumiza machoo
Ukistaajabia ya musa utayaona ya filauni,sasa nimeanza kuamini usemi huu! Jamani tanzania nchi yangu ina vituko vilivyo pitiliza! Mkuu wa shule ya sekondari ya kata iitwayo ndalibo sekondari anaeitwa lucas masanzu anawaumiza vichwa viongozi wa elimu walayani kongwa mkoani dodoma kwa mambo yake yafuatayo!habari za kuamini kutoka kwa wasamalia wema eneo inapopatikana shule na nilizozithibitisha mimi kwanjia zangu na pia zisha andikwa gazetini mwezi mmoja uoputa zinatiririka kama ifuatavyo!!!kwanza kabisa alikula pesa za wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka wa jana ilingulika baada ya matokeo kutoka kwa mara ya kwanza kabla ya kufutwa na serikali,baadhi ya wanafunz waliandamana hadi shuleni wakiwa na wazazi wao,alipobanwa sana alikri makosa na kuahidi kulipa fedha hizo baraza la mitihani tena na faini juu kwa mujibu wa baraza la mitihani pindi matokeo yanapo kuwa yametoka!huyo mkuu wa shule alilipa na matokeo yakatoka!! Kali kuliko yote iliyonifanya nilete huu uzi ni hii hapa!viongozi wa elimu walipo fanya utafiti waligundua kuwa amekula tena pesa za ada za kidato cha nne wa mwaka wanaotarajia kufanya mtihani safari. hii amekula na wale wa kidato cha pili alipoulizwa alijibu kama alivyotaka tena kwa ujasiri! Chakushangaza zaidi alipo letewa barua ya kuondolewa ukuu wa shule aligoma na kukataa kukabidhi ofisi kwa mkuu mpya,wiki iliyopita viongozi wa elimu mara mbili walienda shuleni hapo bila ya mafanikio tena wakiwa na mkuu mpya!raia wanajiuliza anategemea nini kama anaweza kufanya hivyo mkuu huyo mwenye diploma tu ya ualimu?pia viongozi watafanyaje tena?wataenda tena kumtoa au ndo wameshindwa na mtu huyo anaeweza kumjibu mwajiri wake apendavyo!NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA NAWACHUKIA VIONGOZI WEZI!!
 
Ukistaajabia ya musa utayaona ya filauni,sasa nimeanza kuamini usemi huu! Jamani tanzania nchi yangu ina vituko vilivyo pitiliza! Mkuu wa shule ya sekondari ya kata iitwayo ndalibo sekondari anaeitwa lucas masanzu anawaumiza vichwa viongozi wa elimu walayani kongwa mkoani dodoma kwa mambo yake yafuatayo!habari za kuamini kutoka kwa wasamalia wema eneo inapopatikana shule na nilizozithibitisha mimi kwanjia zangu na pia zisha andikwa gazetini mwezi mmoja uoputa zinatiririka kama ifuatavyo!!!kwanza kabisa alikula pesa za wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka wa jana ilingulika baada ya matokeo kutoka kwa mara ya kwanza kabla ya kufutwa na serikali,baadhi ya wanafunz waliandamana hadi shuleni wakiwa na wazazi wao,alipobanwa sana alikri makosa na kuahidi kulipa fedha hizo baraza la mitihani tena na faini juu kwa mujibu wa baraza la mitihani pindi matokeo yanapo kuwa yametoka!huyo mkuu wa shule alilipa na matokeo yakatoka!! Kali kuliko yote iliyonifanya nilete huu uzi ni hii hapa!viongozi wa elimu walipo fanya utafiti waligundua kuwa amekula tena pesa za ada za kidato cha nne wa mwaka wanaotarajia kufanya mtihani safari. hii amekula na wale wa kidato cha pili alipoulizwa alijibu kama alivyotaka tena kwa ujasiri! Chakushangaza zaidi alipo letewa barua ya kuondolewa ukuu wa shule aligoma na kukataa kukabidhi ofisi kwa mkuu mpya,wiki iliyopita viongozi wa elimu mara mbili walienda shuleni hapo bila ya mafanikio tena wakiwa na mkuu mpya!raia wanajiuliza anategemea nini kama anaweza kufanya hivyo mkuu huyo mwenye diploma tu ya ualimu?pia viongozi watafanyaje tena?wataenda tena kumtoa au ndo wameshindwa na mtu huyo anaeweza kumjibu mwajiri wake apendavyo!NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA NAWACHUKIA VIONGOZI WEZI!!





Yote yanawezekana Tanzania. Hebu inyake hii. Huko Mwanza, Shule ya Sekondari Nsumba mwanafunzi akitaka kuhamia shule hiyo lazima aende na mifuko saba ya saruji (cement). Bado, hebu subiri, saruji hiyo lazima inunuliwe kutoka duka ambalo limeteuliwa na uongozi wa shule hiyo. Ukipeleka saruji uliyonunua kutoka maduka mengine imekula kwako, haipokelewi. Pia usafiri wa kuipeleka saruji shuleni hapo unatolewa na shule. Kivipi, sikiliza; Shule ina gari binafsi ndilo huyo mwanafunzi mpeleka saruji lazima alikodi pia, vinginevyo saruji hiyo haipokelewi. Kama ndoto vile!!! Majanga, majanga!!!
 
ukistaajabia ya musa utayaona ya filauni,sasa nimeanza kuamini usemi huu! Jamani tanzania nchi yangu ina vituko vilivyo pitiliza! Mkuu wa shule ya sekondari ya kata iitwayo ndalibo sekondari anaeitwa lucas masanzu anawaumiza vichwa viongozi wa elimu walayani kongwa mkoani dodoma kwa mambo yake yafuatayo!habari za kuamini kutoka kwa wasamalia wema eneo inapopatikana shule na nilizozithibitisha mimi kwanjia zangu na pia zisha andikwa gazetini mwezi mmoja uoputa zinatiririka kama ifuatavyo!!!kwanza kabisa alikula pesa za wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka wa jana ilingulika baada ya matokeo kutoka kwa mara ya kwanza kabla ya kufutwa na serikali,baadhi ya wanafunz waliandamana hadi shuleni wakiwa na wazazi wao,alipobanwa sana alikri makosa na kuahidi kulipa fedha hizo baraza la mitihani tena na faini juu kwa mujibu wa baraza la mitihani pindi matokeo yanapo kuwa yametoka!huyo mkuu wa shule alilipa na matokeo yakatoka!! Kali kuliko yote iliyonifanya nilete huu uzi ni hii hapa!viongozi wa elimu walipo fanya utafiti waligundua kuwa amekula tena pesa za ada za kidato cha nne wa mwaka wanaotarajia kufanya mtihani safari. Hii amekula na wale wa kidato cha pili alipoulizwa alijibu kama alivyotaka tena kwa ujasiri! Chakushangaza zaidi alipo letewa barua ya kuondolewa ukuu wa shule aligoma na kukataa kukabidhi ofisi kwa mkuu mpya,wiki iliyopita viongozi wa elimu mara mbili walienda shuleni hapo bila ya mafanikio tena wakiwa na mkuu mpya!raia wanajiuliza anategemea nini kama anaweza kufanya hivyo mkuu huyo mwenye diploma tu ya ualimu?pia viongozi watafanyaje tena?wataenda tena kumtoa au ndo wameshindwa na mtu huyo anaeweza kumjibu mwajiri wake apendavyo!naipenda nchi yangu tanzania nawachukia viongozi wezi!!

hivi unaamini wamekwenda mara mbili kagoma kuondoka ., sio hivyo alikula nao saizi wanataka kumpakazia yeye pekee yake ndo maana wamekuja mara 2 bila mafanikio nafikiri kama wasingekuwa washirika angeondoka hata kwa kuletewa polisi sisi kinashindikana kitu gani/? Huoni hawa majibu yapo wazi tu
 
hivi unaamini wamekwenda mara mbili kagoma kuondoka ., sio hivyo alikula nao saizi wanataka kumpakazia yeye pekee yake ndo maana wamekuja mara 2 bila mafanikio nafikiri kama wasingekuwa washirika angeondoka hata kwa kuletewa polisi sisi kinashindikana kitu gani/? Huoni hawa majibu yapo wazi tu

wakuu huwa hawali hela pekee yao wanajua siri nyingi sana hao ndo maana ikitokea migomo ya walimu ni nadra sana wao kugoma
 
Back
Top Bottom