Dah yani mtu akufi&#@re then umsamehe tu 😃 Kuna watu aisee mtu akupige msumari mguuni halafu aje umsamehe tu.ninacho kiona chuki na visasi vinaweza vikazidi zaidi kuliko kama wangesameheana.
msamaha huponya kuliko mapambano.
Shauri yakoKienyeji Chadema hamuwezi!
Ameutoa jaji!😝😝😝😝😝Lete ushahidi usiokuwa na shaka!
HakikaAmeutoa jaji!
Huyu polisi aliachwa kweli?Iko wazi kwamba OCD wa Hai alinyamazia unyama wote ulioambatana na uchafu wa kutia aibu wa Mhalifu Ole Sabaya, kwa vyovyote vile Mtu mwenye mamlaka ya kuzuia Uhalifu anapounyamazia ili uendelee kutendwa huyu naye ni kwamba anashiriki uhalifu huo, anapaswa kukamatwa na kuunganishwa kwenye kesi husika.
Ujumbe huu umfikie Simon Sirro ambaye ndie IGP wa Polisi Tanzania, huwezi kuendelea na OCD wa namna hii na bado ukadhani utaaminiwa. Jeshi letu la Polisi bado lina watu wengi sana waadilifu na wanaojua majukumu yao vizuri sana wanaoweza kuchukua nafasi ya huyo mhalifu.
Amehamishiwa kilosaHuyu polisi aliachwa kweli?
Iko wazi kwamba OCD wa Hai alinyamazia unyama wote ulioambatana na uchafu wa kutia aibu wa Mhalifu Ole Sabaya, kwa vyovyote vile Mtu mwenye mamlaka ya kuzuia Uhalifu anapounyamazia ili uendelee kutendwa huyu naye ni kwamba anashiriki uhalifu huo, anapaswa kukamatwa na kuunganishwa kwenye kesi husika.
Ujumbe huu umfikie Simon Sirro ambaye ndie IGP wa Polisi Tanzania, huwezi kuendelea na OCD wa namna hii na bado ukadhani utaaminiwa. Jeshi letu la Polisi bado lina watu wengi sana waadilifu na wanaojua majukumu yao vizuri sana wanaoweza kuchukua nafasi ya huyo mhalifu.
Niunganishe na binti yake mmojaMzee Sirro ameshachoka na kuezeeeka sasa hivi anatafutia tu mabinti zxake wachumba at least apate Wajukuu wa kucheza nao. Yaani bora liende tu, nina appoitnment nae keshokutwa, kuna jambo nataka nikamshirikishe yule Mzee wa watu wa ki RC.
Una uhakika na jambo hili jema kwamba OCD Mpina alikufa ?Mkuu wa Polisi wa Hai alikufa kwa covid 19 mwaka jana
Una uhakika na jambo hili jema kwamba OCD Mpina alikufa ?
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Na kusahaulika tayari