Mkuu wa Polisi wa Hai alishirikiana na Ole Sabaya kwenye Uhalifu, naye akamatwe haraka sana

ninacho kiona chuki na visasi vinaweza vikazidi zaidi kuliko kama wangesameheana.
msamaha huponya kuliko mapambano.
Dah yani mtu akufi&#@re then umsamehe tu 😃 Kuna watu aisee mtu akupige msumari mguuni halafu aje umsamehe tu.
 
Kama polisi mwenyewe ndiye huyu hapa kwenye hii video, atumbuliwe haraka sana ili iwe funzo kwa polisi wengine wasiojua majukumu yao wanapokuwa kazini. Huyu hana tofauti na mabaunsa waliokuwa wakiongozana na Sabaya.



Akishatumbuliwa aunganishwe kwenye mashitaka dhidi ya jambazi Ole Sabaya na mabaunsa wake.
 
Iko wazi kwamba OCD wa Hai alinyamazia unyama wote ulioambatana na uchafu wa kutia aibu wa Mhalifu Ole Sabaya, kwa vyovyote vile Mtu mwenye mamlaka ya kuzuia Uhalifu anapounyamazia ili uendelee kutendwa huyu naye ni kwamba anashiriki uhalifu huo, anapaswa kukamatwa na kuunganishwa kwenye kesi husika.

Ujumbe huu umfikie Simon Sirro ambaye ndie IGP wa Polisi Tanzania, huwezi kuendelea na OCD wa namna hii na bado ukadhani utaaminiwa. Jeshi letu la Polisi bado lina watu wengi sana waadilifu na wanaojua majukumu yao vizuri sana wanaoweza kuchukua nafasi ya huyo mhalifu.

Huyu polisi aliachwa kweli?
 
Iko wazi kwamba OCD wa Hai alinyamazia unyama wote ulioambatana na uchafu wa kutia aibu wa Mhalifu Ole Sabaya, kwa vyovyote vile Mtu mwenye mamlaka ya kuzuia Uhalifu anapounyamazia ili uendelee kutendwa huyu naye ni kwamba anashiriki uhalifu huo, anapaswa kukamatwa na kuunganishwa kwenye kesi husika.

Ujumbe huu umfikie Simon Sirro ambaye ndie IGP wa Polisi Tanzania, huwezi kuendelea na OCD wa namna hii na bado ukadhani utaaminiwa. Jeshi letu la Polisi bado lina watu wengi sana waadilifu na wanaojua majukumu yao vizuri sana wanaoweza kuchukua nafasi ya huyo mhalifu.

Mkuu wa Polisi wa Hai alikufa kwa covid 19 mwaka jana​

 
Mzee Sirro ameshachoka na kuezeeeka sasa hivi anatafutia tu mabinti zxake wachumba at least apate Wajukuu wa kucheza nao. Yaani bora liende tu, nina appoitnment nae keshokutwa, kuna jambo nataka nikamshirikishe yule Mzee wa watu wa ki RC.
Niunganishe na binti yake mmoja
 
Back
Top Bottom