Mango833
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 4,392
- 20,545
Kutakuwa na press mpaka rais Ala ugali na maharage leo mchana. tunakoelekeaduh hizi press release ni noma!!!
Kutakuwa na press mpaka rais Ala ugali na maharage leo mchana. tunakoelekeaduh hizi press release ni noma!!!
Kwa hiyo tutegemee Wimbi kubwa la Rip msimu huu?Sasa hivi ni mwendo wa Muhimbili tu...India mtakusikia kwenye bomba..
Sijakuelewa...alisema kwa press release?Basically tayari. Mkulu alisema nyie mnaoifuatilia hiyo issue si bora tu "mjiunge na chama hicho kilichogawana" zile fwedha!?
Shigella ana umuhimu gani wa kumtolea taarifa kiasi hiki ? Kuna namna hapo mjomba , subiri .Hii comment yaweza kua na ukweli 100%
Jitu jimbeya utalitambua tu!Afya yake huwa inanipa Mashaka hana Magonjwa Mtambuka kweli?
Naonaga mnashangaa wazungubwanajua kwako wewe kwako hupajui una bahatisha, ni bombo mkuu,karibu tanga ,bumbuli ni jimbo kwenye wilaya ya lushoto.
Kweli. Huo ndio mwelekeo.Afya yake huwa inanipa Mashaka hana Magonjwa Mtambuka kweli?
Hahaa, acha tutibiwe wote c ndo mahome auSasa hivi ni mwendo wa Muhimbili tu...India mtakusikia kwenye bomba..
Yaani aache Hosp ya mkoa Bombo aende ya wilaya Bumbuli hata km kubana matumizi that's 2 much.
Itakuwa tezi dumeHivi ilikuwa ni malaria, mafua, kichomi au Cancer? Kiki indeed.
Press release mpaka kwa jambo kama hili wajameni?
Huyu ni Yesu au Mtume?