figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,482
- 54,837
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimtambulisha Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha wakati alipoweka jiwe la Msingi la Kituo cha Afya cha Chela katika Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama,Mkuu huyo wa wilaya aliapishwa jana asubuhi na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Zainab Teklack.
My take:
Nahisi Waziri mkuu Majaliwa ndo alimchongea Mkuu wa Wilaya aliyefukuzwa Fadhili Nkurlu. Sababu amefukuzwa wakati akiwa ziarani Kahama, Naona ana furaha kumtambulisha, si kwa furaha hii. Ukute Majaliwa naye anaanza kujitengenezea ka mtandao uchaguzi wa 2025.
Nawatakia kila la heri siasani.