christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,467
- 3,860
Moja ya tabia mbaua niliyoiona Mwanza ni daladala kubadilisha route hovyo hasa nyakati za jion na trafki wapo. Sijui huwa hawajui au. ndio tusemeje, yaani ikifika jioni gari zote za Malimbe zinaenda Butimba tena wanatangazia abiria bila aibu. Chalamila hajawahi nianangusha akipata taarifa naamini hii tabia itakima.