wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Aisee..Aah nikajua fundi cherehani
Okay gotcha you
Aisee..Aah nikajua fundi cherehani
Okay gotcha you
Inasekana amesema ndani wapo wenzake wawili wamebakia
Mbona kama hatiririki kama mhusika!? Kuna kituNdugu zangu mimi nilikuwepo ndani ya kivuko kile cha MV NYERERE,tumepona tu kwa sababu tulikuwa nje,waliokaa ndani ni ngumu sana kupona kwakuwa kivuko kiligeuka gafla chini juu na kina uzito,
mtu ukifunikwa vile ata waokozi wakifika ndani ya robo saa kukuta bado mzima ni ngumu sana.
Kama hauamini na unazani masihara jaribu kuzama ndani ya pipa la maji kwa dakika 10 bila kupumua uone.
Mimi naomba wale waliozidisha abiria na uzito wakamatwe kama Mhe Rais alivyosema
na sisi abiria tujiongeze
Tukifika standi kwenye basi ama bandarini tuwe tunauliza, je hiki kivuko kina beba watu wangapi ?
na huo uzito ubandikwe kwenye mbao za matangazo,ukiona watu wamezidi usipande ila wa afrika sisi tunalazimisha na wengine tunatoa rushwa ili turuhusiwe kupanda madhara ndio haya,
ni ngumu sana kupona ukifunikwa vile ata kama baada ya dakika 10 kivuko kinge ondolewa majini lazima maiti zingekuwa nyingi sana,
watu waangalie ata Marekani boat ili wahi kuzama kwa kugeuka tu watu 17 wakaaga dunia,,waokozi wanafika wakakuta tayari na wenzetu wameendelea sana lakini kifo cha maji kinaua haraka hasa kama mtu unakuwa umefunikwa kama hawa walikuwa ndani.
Hiki kivuko kime karabatiwa mwaka jana na kote huko kimeenda vizuri tu tunakaribia kupaki watu wa ndani wanagombea kutoka nje
kwa kuwa watu walizidishwa uzito ukaenda sehemu moja kikageuka wajuu tukarushwa kwenye maji ndio pona yetu, wavuvi jirani wakaja kutuokoa,,walipoingia ndani ya kivuko kwa chini mda ule ule wakakuta watu washakufa kwa kukosa hewa sasa watu wasilaumu tu bila kujua.
nawaambia usiombe kufunikwa na kivuko, Sikia tu kwenye mitandao.......
mimi John Kisekwa..."
Kama alishtuka akaenda kujifungia mle kwenye chumba chao yaani alikuwa ameshakosa pumzi ya kuongea akawa anagonga gonga kwa ndani hadi waokoaji wakamsikiaAlivyojipaka oil alizuia metabolism mkuu. Ameziba matundu ya vinyweleo mwilini hivyo kufanya mambo ya metabolism yaende taratibu sana mkuu. Pia imekuwa kama insulator dhidi ya maji maana mwili ungeanza kumenyeka kama magome ya mti.
Jela inamhusu vipi?Mmh huku nje jela inamsubiri! Mungu azidi kumtetea.
Sahihi mkuu. Kibaya ni kujenga uaminifu kwa wananchi bila kutilia mkazo wa kutosha kwenye changamoto zao.True heri tungesitiza kurudia uchaguzi za kuifurahisha ccm za majimbo matano tu tupate kivuko
kosa lake ni lipi??Msanii sana huyu engineer majalala.
Hizo calculations zake dhaifu haziwezi kumuondolea hatia ya uhalifu alioufanya.
naona akili zako umeziweka likizo na kuamua kutumia za Zittotunanunua midege lakini vifaa vya uokoaji tunashindwa
tumeua watu waliokuwa hai kwa kusitisha zoezi la uokoaji
Anawajibika kusimamia usalama wa kivuko.kosa lake ni lipi??
usitake kunijuajua(in mbowe's voice)naona akili zako umeziweka likizo na kuamua kutumia za Zitto
Unafahamu maana ya metabolism?Alivyojipaka oil alizuia metabolism mkuu. Ameziba matundu ya vinyweleo mwilini hivyo kufanya mambo ya metabolism yaende taratibu sana mkuu. Pia imekuwa kama insulator dhidi ya maji maana mwili ungeanza kumenyeka kama magome ya mti.
Unafahamu maana ya metabolism?Alivyojipaka oil alizuia metabolism mkuu. Ameziba matundu ya vinyweleo mwilini hivyo kufanya mambo ya metabolism yaende taratibu sana mkuu. Pia imekuwa kama insulator dhidi ya maji maana mwili ungeanza kumenyeka kama magome ya mti.
Mkuu taratibu na maneno yako MUNGU siyo athumani..Una uhakika 100% hakuna alie hai kwenye hicho kivuko?
Hii ya kusema Mwanza wasibomoreshwe inaniuma mpaka leoMgawanyiko ulianza mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2015. Sasa hivi Taifa liko vipande vipande.
Je huyu fundi mkuu aliyekaa saa 48 vipi? Usicheze na MUNGU mkuuDak mbili tu kwa mtu wa kawaida hazimalizi ndani ya maji sembuse masaa 24? mnashangaza sana. Hata kama waokoaji wangepeleka kwa chop maafa bado yangekuwa yaleyale tu maana chombo kilipinduka suddenly na kufunika watuna dakika 10hata daiva mzoefu hamalizi nani ya maji lazima afariki maana hatumii gills kupumua, lawama nyingine za kipuuzi kabisa.
Unauliza swali au?Unafahamu maana ya metabolism?
Sasa mtu kama huyo ukmwita ndo kawatoa kafara utakataaa??Mongela you need to be proactive.
Ungeanza kujipanga mapema na mahema. Majenereta. Bulbu.fedha kidogo na chakula kwa waokoaji. Huyu aliyeokolewa hai leo angetoka na wengine wengi wasio na hatia.
Mongela alifika eneo na tukio na smart phone minus washauri wake na hakua na mkakati wowote zaidi ya kupigwa picha.