Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Mbona CCM mnafanya mikutano ya hadhara?Mbowe anasema Kuna corona na chanjo iwe lazima
Halafu wakati huo huo anataka kukusanya watu.
Huyu ndugu yupo sawa kweli??
Mbona CCM mnafanya mikutano ya hadhara?Mbowe anasema Kuna corona na chanjo iwe lazima
Halafu wakati huo huo anataka kukusanya watu.
Huyu ndugu yupo sawa kweli??
Kwanini mnaogopa katiba mpya wapuuzi nyie?Katiba ina limits zake hasa katika kulinda usalama wa nchi haya madai ya katiba yana sambaza chuki na kuleta dalili za kuvunja amani lazima hatua zichukuliwe mapema.
Ila yeye ndio kinara wa kuinadi hivyo tunategemea asiitishe mikutano wakati anafahamu huwa ipo.Mbona CCM mnafanya mikutano ya hadhara?
Mbona CCM mnafanya mikutano ya hadhara?
Kikao cha ndani kina shida gani? ingekuwa mkutano wa hadhara hapo sawaIla yeye ndio kinara wa kuinadi hivyo tunategemea asiitishe mikutano wakati anafahamu huwa ipo.
Au corona haipo yeye akifanya mikutano na inakuwepo wakati mwingine.
RightTanzania hatuna utawala wa sheria....nchi hii ni ya kuiombea hatuna viongozi wa umma bali tuna viongozi wa chama.cha mapinduzi.
Hata huo pia ni mkusanyiko au anafanya akiwa peke yake.Kikao cha ndani kina shida gani? ingekuwa mkutano wa hadhara hapo sawa
Utakuwa na shida kichwani wewe achana na mmHata huo pia ni mkusanyiko au anafanya akiwa peke yake.
Haha bavicha kaishiwa hoja.Utakuwa na shida kichwani wewe achana na mm
Haya umeshindaHaha bavicha kaishiwa hoja.
Mkuu wataamka tu wameanza na kutuma pesa, Mpesa zote zipo wazi hazina watejaNchi ya mauzauza hii yenye wananchi waoga wenye upole wa maiti. Of all the people on Earth, Gabriel anazuia kongamano!!!?
Wewe siyo muoga, ingia barabaraniNchi ya mauzauza hii yenye wananchi waoga wenye upole wa maiti. Of all the people on Earth, Gabriel anazuia kongamano!!!?
Mambo ya kuogofya sasa yameanza kushika kasi na moja yake ni hili la mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Gabriel kupiga marufuku mikusanyiko yote isipokuwa misiba na ibada. Ukiondoa makusanyiko hayo tafsiri nyepesi ni kwamba sasa Masoko yatabidi yafungwe, magulio yafungwe na huenda pia makusanyiko ya harusi hayaruhusiwi tena. Je ni mamlaka ya wapi watu hawa wameweza kuzuia majumuiko ya kijamii? Mkoa wa mwanza una sheria zake za ndani na kama mwanza iko worsened kwanini Waziri wa afya asitamke yeye mwenyewe?
Wewe siyo muoga, ingia barabarani
Sawa tunasubiria makamandaaaaaa🤣Magaidi huwa wanaingia barabarani, ama unadhani ni waoga? Subiri tu kuna mchezo utafanyika hata ccm wataogopa kukutana kwenye mikutano.