Uchaguzi 2020 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awa nje kituo chake cha kazi kwa takriban mwezi mmoja kisa Ubunge wa Monduli

Kaka naomba hiyo link manake sasahivi tumeshaanza kumtafutia ushahidi wa madudu yake anayofanya nje ya ofisi ambayo rais amempa lakini hataki kutulia bado anarudi kuhangaika jimboni.hadi leo tumeshindwa kujuwa huyu bwana nani anampa hicho kiburi.wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm mkoa wa arusha ulipofanyika alifunga safari kutoka moro goro kwa lengo la kuja kumfanyia kampeni mtu wake lakin nashukuru mh jafo waziri alienda kufanya ziara mkoani kwake lakin hakumkuta kwnye kituo chake cha kazi hali iliyopelekea waziri kumpigia simu mara na kumpa masaa awe amerudi kwenye kituo chake cha kazi
Wewe ni Kalanga mwenyewe. Jiandae kuvuna ulichokipanda.
 
Mbona huyo RC week kama 3 hivi ameonekana yuko Tanga na Pm wakati wa kufungua jengo la bodi ya katani na Pia juzi alikuwa dodoma wakati wa ugawaji wa pikipiki kwa maafisa tarafa, mnapenda sana kuwa na habari za kuungaunga sana.
 
Mkuu wa mkoa any time unatumbuliwa
Atumbuliwe tu, tatizo la viongozi wa chini ya magufuli ni kulindana hasa wana ccm.

Ingalikuwa serikali hii inawaacha watu waseme, huyu kila siku angekuwa kwenye vyombo vya habari.

Anawalinda sana wafugaji wa mvomero na kilosa.
Ukienda huko utaona ng'ombe mpaka chooni kwa wanakijiji.

Kule kilosa yeye na mkuu wa wilaya lao moja, pamoja na afisa tarafa dumila.
Kupora ardhi za wakulima nakuwalinda wafungaji kwakuwa wanapesa za kila siku.

My take , Rais amuondoe huyu, kwakuwa hawezi fanya haki mbele ya kabila lake.
Morogoro husan wilaya ya kilosa na mvomero, wafugaji wake ni wamasai na ndiko kunakotokea mauaji.
UFALME HAUWEZI JIFITINI WENYEWE
 
Watu wa morogoro mbona mna nongwa na gubu hivyo? Majungu tu ndo mana mkoa hauendelei miaka nenda rudi... Mara majungu kwa mkuu wa mkoa, mara majungu kwa meya mstaafu, mara majungu mbunge viti maalum.... shame
 
Atumbuliwe tu, tatizo la viongozi wa chini ya magufuli ni kulindana hasa wana ccm.

Ingalikuwa serikali hii inawaacha watu waseme, huyu kila siku angekuwa kwenye vyombo vya habari.

Anawalinda sana wafugaji wa mvomero na kilosa.
Ukienda huko utaona ng'ombe mpaka chooni kwa wanakijiji.

Kule kilosa yeye na mkuu wa wilaya lao moja, pamoja na afisa tarafa dumila.
Kupora ardhi za wakulima nakuwalinda wafungaji kwakuwa wanapesa za kila siku.

My take , Rais amuondoe huyu, kwakuwa hawezi fanya haki mbele ya kabila lake.
Morogoro husan wilaya ya kilosa na mvomero, wafugaji wake ni wamasai na ndiko kunakotokea mauaji.
UFALME HAUWEZI JIFITINI WENYEWE

Hizi ndo tabia zake amekuwa mkabila anagawa wananchi hata alivyokuwa monduli kama mwenyekiti wa chama alipora mashamba monduli juu sehemu moja maarufu kama lemangalioo
Akagombanisha vijiji viwili vya lendingikinya na monduli juu hadi watu kuuwana.asingekuwa mbunge wa sasa mh kalanga leo ingekuwa habari nyingine lakini zaidi bado ameendelea kumuhujumu mbunge kwa kusema hao ni waarusha siyo wamasai tusiwape tena ubunge wa monduli
 
Mshaurini kama vipi achie ukuu wa mkoa aje uwanjani ache kujificha ficha
Tunajua fika una wasiwasi na hatma yako kisiasa ndio maana umeanza majungu.

Acha kumzushia uongo Mh. Sanare wananchi wa Monduli wana imani nae.
 
Wakuu wa mikoa na wilaya waliotangaza nia wote hawapo kwenye maeneo yao ya kazi zaidi ya mwezi sasa, Loata ni mfano mmoja.
 
Julius nadhani ni mbunge makini kwa Monduli, huyo Sanare kwanza si mtu wa maendeleo kabisa, ni bahati tu aliupata uRC, huu ndio ukweli, Sanare si mchapakazi wala a leader, hivyo naamini CCM inajua hilo kwa uwazi
 
Julius nadhani ni mbunge makini kwa Monduli, huyo Sanare kwanza si mtu wa maendeleo kabisa, ni bahati tu aliupata uRC, huu ndio ukweli, Sanare si mchapakazi wala a leader, hivyo naamini CCM inajua hilo kwa uwazi

Umenena kiongozi
Jamaa hana analofanya la maana kwenye nafasi yake hiyo ya ukuu wa mkoa zaidi ya kuongeza mgogoro wa wakulima na wafugaji
Huyu bado ana hasira na mh kalanga bado hajapona majeraha yake manake kabla ya kalanga hajawa mbunge alikuwa diwani ambapo mh kalanga alishindana kwenye uchaguzi wati huyu sanare ndio diwani wa lepurko lakin bado kalanga alimgaragaza sanare.hayo majeraha hadi leo hayaja pona kabsaa
 
Acha uchochezi,binafisi nimekutana nae wiki iliyopita ofisini kwake,unaposema hayupo ofisini mwezi mzima unamaana gani???

Siyo kweli huyu bwana mkubwa yupo monduli
Amejificha nyumbani kwake kazi yake ni kufanya siasa mbovu tu dhidi ya mbunge.na kama hamuamini anayeweza aende pale nyumbani atamkuta.sisi wamasai tunahidi tutakufa na mbunge wetu ambaye ni mtoto wa masikini mwenzetu.na tuna habari wanataka kushirikiana na mtoto wa lowasa kuunganisha nguvu ila nawaambieni hamtaweza nawahakikishieni hizi ni zama zingine.mmeshakula imetosha ni zamu ya watoto masikini
 
Julius nadhani ni mbunge makini kwa Monduli, huyo Sanare kwanza si mtu wa maendeleo kabisa, ni bahati tu aliupata uRC, huu ndio ukweli, Sanare si mchapakazi wala a leader, hivyo naamini CCM inajua hilo kwa uwazi

Sisi tunamuomba rais aturudishie hapo monduli aendelee kuwatumikia wana monduli hawa wengine ni wakabila kama huyo sanare hafai kabsa kalanga ana uwezo wa kuwaunganisha watu wa monduli
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake.
Mkuu wa mkoa huyu itakumbukwa amepora mashamba eneo la monduli juu kutoka kwnye hifadhi ya msitu wa serikali vile na kuanzisha mgogoro wa ardhi kati ya vijiji viwili vya lendikinya na monduli juu hadi kusababisha mtu kupoteza maisha
Tunaendelea kutoa wito kwa serikali yetu tukufu ya Dr John pombe magufuli kuingilia hili kati kwasabu mh huyu amekuwa chanzo na migogoro katika wilaya ya monduli.

Ameendelea kubaki monduli akifanya vikao usiku na mchana nyumbani kwake hadi leo bado ameshindwa kuondoka kwenda kwenye kituo chake cha kazi lengo ni kuendelea kumhujumu mbunge wa monduli ili hali akijuwa kabsa muda wa chama kufanya siasa haujafika
ww ni me au ke?manake cyo kwa umbea huo na usikute mh mbunge mwnyewe
 
Back
Top Bottom