Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ameitisha kikao kesho tarehe 15/09/2012 na wafanyabiashara wa mahoteli na nyumba za kulala wageni wa manispaa ya Morogoro katika ukumbi wa Rombo White Bar kuanzia saa nane mchana.
...usishangae RC anaenda kuongea na hao wadau huku akiongozana na RPC, Mkuu wa Magereza wa Mkoa, Afisa uhamiaji, Katibu Tarafa na Makatibu kata huku akiwaacha watu muhimu ambao na Maafisa Kazi kutoka Idara ya Kazi ya Mkoa na Maafisa Usuluhishi na Uhamuzi kutoka CMA ambao wanaosimamia Sheria za kazi zenye kulinda Haki na Maslahi ya Wadau hao:
Baadae nitapenda kujua aliongozana nao; kwa mantiku hiyo sizani kikao hicho kama kitakuwa na ufanisi
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ameitisha kikao kesho tarehe 15/09/2012 na wafanyabiashara wa mahoteli na nyumba za kulala wageni wa manispaa ya Morogoro katika ukumbi wa Rombo White Bar kuanzia saa nane mchana.
sioni tatizo kwa mkuu kwenda baa
labda utueleze kigugumizi chako kufanyika mkutano huo hapo.
si vibaya umesaidia kutoa taarifa.
tunakutuma utupe kilichojiri ktk kikao hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.