Mkuu wa Mkoa wa Mbeya toka hadharani uombe radhi kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu mapato ya ndani ya mkoa

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,137
Bila kupoteza mda twende kwenye mada..

Tarehe 6/7/2022,Mkuu wa Mkoa wa Mbeya aliitisha Kikao na Wanahabari na Kutoa taarifa za Makusanyo ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri za Mkoa wake..

Kwenye Taarifa yake alisema Mkoa wake umevuka malengo ya makusanyo kwa Kukusanya kiasi cha sh.Bil.45.062 sawa na asilimia 105.6% ya malengo ya kukusanya Sh Bil.42.371% hivyo kuvuka lengo..

Aidha alitoa mchanganuo wa Mapato kwa Kila Halmashauri za Mkoa huo na Kuzipongeza kwa kuvuka malengo ya Makusanyo..

Lakini Jana Waziri Mwenye dhamana na Tamisemi alitoa taarifa ya Uchambuzi wa Makusanyo kwa Kila Halmashauri Nchini..

Kwenye Taarifa ya Tamisemi Mkoa wa Mbeya umekusanya mapato kiasi kidogo tofauti na Mapato yaliyotangazwa na Mkuu wa Mkoa..

Kwani imebainika Kwamba Mkoa wa Mbeya umekusanya Bil.42.272 sawa na asilimia 99% kinyume kabisa na Taarifa ya Mkuu wa Mkoa..

Aidha Mbeya haijavuka Malengo ya Makusanyo waliyojiwekea kinyume na alivyosema Mkuu wa Mkoa..

Mbaya zaidi Jiji la Mbeya ndio limekusanya mapato kiduchu na kushika Mkia kwa Majiji yote Tanzania.Hivi Mbeya ni ya kuzidiwa na Tanga kweli? Hapa kuna Uzembe mahala.

My Take..

Mhusika aombe radhi kwa Kudanganya umma.

Aidha Tamisemi ipige marufuku Kwa Wakuu wa Mikoa nk kutoa taarifa hizi kabla ya wao kufanya Majumuisho maana kitendo ch a kuwa na Wasemaje wengi matokeo yake ndio haya ya kuwa na Takwimu lukuki zinazoongea lugha tofauti..

Unashindwa kuelewa ushike lipi na uache lipi. Ikumbukwe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu aliyetumbuliwa nae alitoa Takwimu zake huku wengine wakisubiri.👇
Screenshot_20220803-094042.png
Screenshot_20220803-093403.png
Screenshot_20220803-093303.png
 
Bila kupoteza mda twende kwenye mada..

Tarehe 6/7/2022,Mkuu wa Mkoa wa Mbeya aliitisha Kikao na Wanahabari na Kutoa taarifa za Makusanyo ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri za Mkoa wake..

Kwenye Taarifa yake alisema Mkoa wake umevuka malengo ya makusanyo kwa Kukusanya kiasi cha sh.Bil.45.062 sawa na asilimia 105.6% ya malengo ya kukusanya Sh Bil.42.371% hivyo kuvuka lengo..

Aidha alitoa mchanganuo wa Mapato kwa Kila Halmashauri za Mkoa huo na Kuzipongeza kwa kuvuka malengo ya Makusanyo..

Lakini Jana Waziri Mwenye dhamana na Tamisemi alitoa taarifa ya Uchambuzi wa Makusanyo kwa Kila Halmashauri Nchini..

Kwenye Taarifa ya Tamisemi Mkoa wa Mbeya umekusanya mapato kiasi kidogo tofauti na Mapato yaliyotangazwa na Mkuu wa Mkoa..

Kwani imebainika Kwamba Mkoa wa Mbeya umekusanya Bil.42.272 sawa na asilimia 99% kinyume kabisa na Taarifa ya Mkuu wa Mkoa..

Aidha Mbeya haijavuka Malengo ya Makusanyo waliyojiwekea kinyume na alivyosema Mkuu wa Mkoa..

Mbaya zaidi Jiji la Mbeya ndio limekusanya mapato kiduchu na kushika Mkia kwa Majiji yote Tanzania.Hivi Mbeya ni ya kuzidiwa na Tanga kweli? Hapa kuna Uzembe mahala.

My Take..

Mhusika aombe radhi kwa Kudanganya umma.

Aidha Tamisemi ipige marufuku Kwa Wakuu wa Mikoa nk kutoa taarifa hizi kabla ya wao kufanya Majumuisho maana kitendo ch a kuwa na Wasemaje wengi matokeo yake ndio haya ya kuwa na Takwimu lukuki zinazoongea lugha tofauti..

Unashindwa kuelewa ushike lipi na uache lipi.Ikumbukwe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu aliyetumbuliwa nae alitoa Takwimu zake huku wengine wakisubiri.👇
Hii ndio Tanzania...
 
Bila kupoteza mda twende kwenye mada..

Tarehe 6/7/2022,Mkuu wa Mkoa wa Mbeya aliitisha Kikao na Wanahabari na Kutoa taarifa za Makusanyo ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri za Mkoa wake..

Kwenye Taarifa yake alisema Mkoa wake umevuka malengo ya makusanyo kwa Kukusanya kiasi cha sh.Bil.45.062 sawa na asilimia 105.6% ya malengo ya kukusanya Sh Bil.42.371% hivyo kuvuka lengo..

Aidha alitoa mchanganuo wa Mapato kwa Kila Halmashauri za Mkoa huo na Kuzipongeza kwa kuvuka malengo ya Makusanyo..

Lakini Jana Waziri Mwenye dhamana na Tamisemi alitoa taarifa ya Uchambuzi wa Makusanyo kwa Kila Halmashauri Nchini..

Kwenye Taarifa ya Tamisemi Mkoa wa Mbeya umekusanya mapato kiasi kidogo tofauti na Mapato yaliyotangazwa na Mkuu wa Mkoa..

Kwani imebainika Kwamba Mkoa wa Mbeya umekusanya Bil.42.272 sawa na asilimia 99% kinyume kabisa na Taarifa ya Mkuu wa Mkoa..

Aidha Mbeya haijavuka Malengo ya Makusanyo waliyojiwekea kinyume na alivyosema Mkuu wa Mkoa..

Mbaya zaidi Jiji la Mbeya ndio limekusanya mapato kiduchu na kushika Mkia kwa Majiji yote Tanzania.Hivi Mbeya ni ya kuzidiwa na Tanga kweli? Hapa kuna Uzembe mahala.

My Take..

Mhusika aombe radhi kwa Kudanganya umma.

Aidha Tamisemi ipige marufuku Kwa Wakuu wa Mikoa nk kutoa taarifa hizi kabla ya wao kufanya Majumuisho maana kitendo ch a kuwa na Wasemaje wengi matokeo yake ndio haya ya kuwa na Takwimu lukuki zinazoongea lugha tofauti..

Unashindwa kuelewa ushike lipi na uache lipi.Ikumbukwe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu aliyetumbuliwa nae alitoa Takwimu zake huku wengine wakisubiri.
Ngoja nikukumbushe kitu inawezekana kbsa Mh mkuu wa mbeya yupo sahihi kbsa ila Taarifa aliyosoma Mh waziri mahesabu yote hayajakamilika kumbuke kila halmashauri inatakiwa kusukuma Taarifa zake Tamisemi
Nakuzifuatilia vema kbsa kama zimefika inawezekana ni uzembe wa waweka hazina wamaeneo yao na sio Mh Mkuu wa Mkoa
 
Sasa wewe kwanini usimuamini mkuu wa mkoa ambaye yeye ndiye yupo hapo anaujua mkoa mpaka uvunguni bali umuamini waziri amae yupo mbaali na anategemea taarifa toka mkoani?
 
Ngoja nikukumbushe kitu inawezekana kbsa Mh mkuu wa mbeya yupo sahihi kbsa ila Taarifa aliyosoma Mh waziri mahesabu yote hayajakamilika kumbuke kila halmashauri inatakiwa kusukuma Taarifa zake Tamisemi
Nakuzifuatilia vema kbsa kama zimefika inawezekana ni uzembe wa waweka hazina wamaeneo yao na sio Mh Mkuu wa Mkoa
Sina uhakika maana baada ya kupuyanga,wameifuta ile taarifa ya RC kwenye website yao.
 
Sasa wewe kwanini usimuamini mkuu wa mkoa ambaye yeye ndiye yupo hapo anaujua mkoa mpaka uvunguni bali umuamini waziri amae yupo mbaali na anategemea taarifa toka mkoani?
Angetaka kuaminika asingeifuta hiyo taarifa kwenye website baada ya kukuta imetofautiana na ya Wizara..

Mbaya zaidi tofauti ni kubwa yaani 92% vs 103%
 
Bila kupoteza mda twende kwenye mada..

Tarehe 6/7/2022,Mkuu wa Mkoa wa Mbeya aliitisha Kikao na Wanahabari na Kutoa taarifa za Makusanyo ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri za Mkoa wake..

Kwenye Taarifa yake alisema Mkoa wake umevuka malengo ya makusanyo kwa Kukusanya kiasi cha sh.Bil.45.062 sawa na asilimia 105.6% ya malengo ya kukusanya Sh Bil.42.371% hivyo kuvuka lengo..

Aidha alitoa mchanganuo wa Mapato kwa Kila Halmashauri za Mkoa huo na Kuzipongeza kwa kuvuka malengo ya Makusanyo..

Lakini Jana Waziri Mwenye dhamana na Tamisemi alitoa taarifa ya Uchambuzi wa Makusanyo kwa Kila Halmashauri Nchini..

Kwenye Taarifa ya Tamisemi Mkoa wa Mbeya umekusanya mapato kiasi kidogo tofauti na Mapato yaliyotangazwa na Mkuu wa Mkoa..

Kwani imebainika Kwamba Mkoa wa Mbeya umekusanya Bil.42.272 sawa na asilimia 99% kinyume kabisa na Taarifa ya Mkuu wa Mkoa..

Aidha Mbeya haijavuka Malengo ya Makusanyo waliyojiwekea kinyume na alivyosema Mkuu wa Mkoa..

Mbaya zaidi Jiji la Mbeya ndio limekusanya mapato kiduchu na kushika Mkia kwa Majiji yote Tanzania.Hivi Mbeya ni ya kuzidiwa na Tanga kweli? Hapa kuna Uzembe mahala.

My Take..

Mhusika aombe radhi kwa Kudanganya umma.

Aidha Tamisemi ipige marufuku Kwa Wakuu wa Mikoa nk kutoa taarifa hizi kabla ya wao kufanya Majumuisho maana kitendo ch a kuwa na Wasemaje wengi matokeo yake ndio haya ya kuwa na Takwimu lukuki zinazoongea lugha tofauti..

Unashindwa kuelewa ushike lipi na uache lipi. Ikumbukwe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu aliyetumbuliwa nae alitoa Takwimu zake huku wengine wakisubiri.
View attachment 2312703View attachment 2312705View attachment 2312706
Hahaa unashangaa mbeya kuzidiwa na tanga,tanga kuna vyanzo vinavyoingiza mapato mengi kuliko mbeya mfano viwanda vya cement, chokaa,vocha&smart card,chuma, makampuni ya mafuta n.k
 
Back
Top Bottom