siyoi koroi
Senior Member
- Sep 6, 2016
- 177
- 214
Ni masikitiko makubwa sana Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Pastory Mnyeti amepanga kuvuruga uchaguzi wa marudio utakaofanyika kesho tarehe 26 November 2017.
Kwa kujua kabisa kuwa anavunja kanuni za utumishi wa umma mkuu huyu wa mkoa amepewa gari ya binafsi ambayo ni mali ya mwanasheria Daniel Pallangyo kwa ajili ya kuzunguka na kuvuruga uchaguzi huu. Ila pia kuna gari zingine mbili amabazo majina ya wamiliki na namba zake tutaweka hapa.
Magari haya atakuwa akiyabadilisha mara kwa mara pamoja na gari yake mwenyewe aina ya Harrier nyeusi.
Tunaomba mamlaka zinazohusika na utumishi wa umma zichukue tahadhari kwani chochote kinaweza kumtokea kutokana na maandalizi ya kujihami yaliyowekwa. Hatutakubali Mnyeti avuruge uchaguzi.
Tunahitaji uhuru wa kupiga kura na kuchagua kiongozi tunayemtaka. Tunamuonya Mnyeti aache Meru na utulivu wake lakini akituchokoza atatupata na sasa tupo tayari kama ambavyo yeye pia yupo tayari kuvuruga amani Meru
Kwa kujua kabisa kuwa anavunja kanuni za utumishi wa umma mkuu huyu wa mkoa amepewa gari ya binafsi ambayo ni mali ya mwanasheria Daniel Pallangyo kwa ajili ya kuzunguka na kuvuruga uchaguzi huu. Ila pia kuna gari zingine mbili amabazo majina ya wamiliki na namba zake tutaweka hapa.
Magari haya atakuwa akiyabadilisha mara kwa mara pamoja na gari yake mwenyewe aina ya Harrier nyeusi.
Tunaomba mamlaka zinazohusika na utumishi wa umma zichukue tahadhari kwani chochote kinaweza kumtokea kutokana na maandalizi ya kujihami yaliyowekwa. Hatutakubali Mnyeti avuruge uchaguzi.
Tunahitaji uhuru wa kupiga kura na kuchagua kiongozi tunayemtaka. Tunamuonya Mnyeti aache Meru na utulivu wake lakini akituchokoza atatupata na sasa tupo tayari kama ambavyo yeye pia yupo tayari kuvuruga amani Meru