L'pardTourSafarGuide
Member
- Jan 18, 2015
- 30
- 5
HONGERA MKUU WA MKOA WA KATAVI KAGOMA KUPOKEA MRADI ULIO CHINI YA KIWANGO
Mkuu wa mkoa wa Katavi amekataa kukubali makabithiana ya ujenzi wa madarasa,maabara na nyumba za waalimu uliojengwa chini ya kiwango. Alipokuwa akikabithiwa mradi huo, alionyeshwa mojawapo ya chumba cha darasa kilichodaiwa kimegharimu million 20 ( 20m). Mheshimiwa alikoma kupokea kutokana na kutoridhishwa na kiwango hakilingani na gharama ya fedha.
Amemuagiza Mkandarasi huyo kurudia ujenzi kwa gharama zake mwenyewe. Tunawapenda na kutamani kuwapata viongozi kama hawa. Big up sana mkuu wa mkoa wa KATAVI.
Mkuu wa mkoa wa Katavi amekataa kukubali makabithiana ya ujenzi wa madarasa,maabara na nyumba za waalimu uliojengwa chini ya kiwango. Alipokuwa akikabithiwa mradi huo, alionyeshwa mojawapo ya chumba cha darasa kilichodaiwa kimegharimu million 20 ( 20m). Mheshimiwa alikoma kupokea kutokana na kutoridhishwa na kiwango hakilingani na gharama ya fedha.
Amemuagiza Mkandarasi huyo kurudia ujenzi kwa gharama zake mwenyewe. Tunawapenda na kutamani kuwapata viongozi kama hawa. Big up sana mkuu wa mkoa wa KATAVI.