Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,268
- 1,593
Mh. Rc Tafadhali tunakuomba achana kwanza kuwa mtetezi wa wabunge waliofukuzwa uanachama huko Chadema, badala Yake Shughulikia kwanza tatizo la bei ya nyanya kule Mgama.
Kilimo cha nyanya ni kilimo kigumu sana kinachohitaji uangalizi wa karibu sana,sasa watu wamehudumia nyanya na sasa wamefikia msimu wa kuvuna cha ajabu tenga linalouzwa 40,000/ msimu wa mavuno walanguzi wanataka kununua kwa 4,000/.
Wakulima wanaumia sababu hawana mtu wa kuwatetea katika hili sababu Mbunge wao (Mgimwa) wa CCM hawajamuona tangu wamuone wakati wa kampeni, na mbaya zaidi wanaugulia tu wanapoona mtetezi wao Mkuu wa mkoa upo busy kuwatetea wabunge wa Chadema waliovuliwa uanachama wakati wao wapo jirani na ofisi YAKO lakini hawaoni jitihada zozote za kuwatetea.
Wanaomba huo ukarimu ulio nao uanzie kwanza nyumbani sababu nyanya zao zinaozea shambani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo cha nyanya ni kilimo kigumu sana kinachohitaji uangalizi wa karibu sana,sasa watu wamehudumia nyanya na sasa wamefikia msimu wa kuvuna cha ajabu tenga linalouzwa 40,000/ msimu wa mavuno walanguzi wanataka kununua kwa 4,000/.
Wakulima wanaumia sababu hawana mtu wa kuwatetea katika hili sababu Mbunge wao (Mgimwa) wa CCM hawajamuona tangu wamuone wakati wa kampeni, na mbaya zaidi wanaugulia tu wanapoona mtetezi wao Mkuu wa mkoa upo busy kuwatetea wabunge wa Chadema waliovuliwa uanachama wakati wao wapo jirani na ofisi YAKO lakini hawaoni jitihada zozote za kuwatetea.
Wanaomba huo ukarimu ulio nao uanzie kwanza nyumbani sababu nyanya zao zinaozea shambani.
Sent using Jamii Forums mobile app