folota
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 251
- 160
Tunamshukuru Mkuu wa Mkoa wa Dar kwa ulipaji wa fidia wananchi wa Makongo Juu na hakuna malalamiko wananchi wamebomoa wenyewe kupisha Barabara kujengwa.
Kunenge ulikuwa wapi wakati walipokuwa wanabomoa Kimara tumejifunza kitu hapa ukiendelea hivi na timu yako nakuchukulia form CCM ugombee cheo kiwe waziri ili upeleke hii elimu wizarani tunataka viongozi 20 Kama Kunenge nchi hii
Kunenge ulikuwa wapi wakati walipokuwa wanabomoa Kimara tumejifunza kitu hapa ukiendelea hivi na timu yako nakuchukulia form CCM ugombee cheo kiwe waziri ili upeleke hii elimu wizarani tunataka viongozi 20 Kama Kunenge nchi hii