Nenda serikali ya mtaa utapata usaidizi!Kusimamia hizi sheria za kupiga muziki kwenye mabaa usiku mrefu bila kusimama. Tuna watoto, tuna wagonjwa.na kuna wengine wanahitaji kupumzika. Lakini huku Mbagala naona
Sio mabaa tu, hivi tunavyoongea Kuna jirani kafungulia mziki full blast, anayo yale maspika makubwa ya kwenye sherehe.
Ile sheria ya kelele chafuzi sijui iliishia wapi
Sio uswazi. Ni huku chuga migombani. Nyumba hazijakaribiana lkn mziki nausikia Kama unapigwa sebuleni kwanguBby Unaishi uswahilini sana ?? Njoo huku mikocheni hatuna hizo mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaelekea uchaguzi mkuu kila kitu ruksaaaaa, unaweza anzisha duka la kuuza bangi weee weka tu bendera ya chama Cha mizimuKusimamia hizi sheria za kupiga muziki kwenye mabaa usiku mrefu bila kusimama. Tuna watoto, tuna wagonjwa.na kuna wengine wanahitaji kupumzika. Lakini huku Mbagala naona