Mkuu hivi hakuna dress code serekalini ?
Mkuu hivi hakuna dress code serekalini ?
ilikuwa haija kauka.alikosea,alitakiwa kuvaa t-shirt kwa ndani..
Mi sidhani nitamlaumu huyu mzee moja kwa moja namlaumu haswa mkewe sababu kisheri wakristo tunamini kifua cha mumeo ni wewe pekee ndie mwenye kukiona na kukichezea sasa hivi kuviweka hadharani inaleta picha si nzuri kwamba yoyoyte ruksa kukia approach...so mama alitakiwa kumwangalia mumewe kabla ajaondoka hiko kifua mzee unamwachia nani hivyo.....
hahahahaaah Kifua cha mahaba hicho, hahahaaah AIBU, AIBU, AIBU
PM naye mbona kavaa saa kikike!! au hata wanaume wanavaaga hivyo!.
Kwani anamatatizo gani, tena kavaa " Vazi la Taifa"EMBU FIKIRIA UNAMKUTA BABA YAKO KIFUA WAZI HIVI MBELE YA WATOTO WENZAKO WA KIKE
UNAHISI NINI ??SORRY KWA NTKAOWACHOMA NAJARIBU KUWASAIDIA HAWA WATU WAWE NA HESHIMAKWENYE
UMATI WA WATU
PM naye mbona kavaa saa kikike!! au hata wanaume wanavaaga hivyo!.