The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Si wanahabari walisema hawatashirikiana naye
Siyo wote, mkuu.
Sisi wa Uhuru, Mzalendo, HabariLeo, Daily News na mengine ambayo ukitupatia za kwetu à. k. a "njuru " , aaah, hakuna kuzuga tunakuja tu tena unatuandalia na mwongozo wa tufanye nini ktk mkutano wako, aidha tucheke sana ama tunune tu ama tuvue nguo kabisa !!