Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
mkuu wa mkoa wa dar es salaam atoa tamko na kusema sheria na kanuni za nchi lazima zifuatwe, mihadhara imesimamishwa mpaka hali itakapokuwa salama na jeshi la polisi limejipanga vema katika kukabiliana na vurugu zitakazojitokeza.