Tangia kutokea kwa mlipuko wa bomu hapo jana ktk mkutano wa kampeni wa chama cha Demokrasia na Maendeleo,na kupoteza maisha ya watu 3 huku zaidi ya 60 wakijeruhiwa vibaya,Mkuu wa mkoa Magesa Mulongo ambae ndie mwenyekiti wa ulinzi wa mkoa hakufika eneo la tukio hadi muda huu nikiwa hapa uwanja wa Soweto.
Mkuu wa mkoa akiongea na vyombo vya habari amesema kuwa anasikitika sana na anaona uchungu kwani ni takriban mwezi mmoja tangia litokee tukio lingine la Kulipuliwa kwa bomu ktk kanisa la Katoliki Olasiti tukio ambalo pia liliuwa watu watatu na wengine kujeruhiwa.
Siku ilipo tokea tukio la kulipuliwa kwa waumini wakiwa kanisani Mkuu wa mkoa alikua wa kwanza kufika eneo la tukio.kulikoni leo hii tukio kama hilo hilo limetokea na Mkuu wa Mkoa hakufika ktk eneo husika??
Mkuu wa mkoa akiongea na vyombo vya habari amesema kuwa anasikitika sana na anaona uchungu kwani ni takriban mwezi mmoja tangia litokee tukio lingine la Kulipuliwa kwa bomu ktk kanisa la Katoliki Olasiti tukio ambalo pia liliuwa watu watatu na wengine kujeruhiwa.
Siku ilipo tokea tukio la kulipuliwa kwa waumini wakiwa kanisani Mkuu wa mkoa alikua wa kwanza kufika eneo la tukio.kulikoni leo hii tukio kama hilo hilo limetokea na Mkuu wa Mkoa hakufika ktk eneo husika??