Mkuu wa mkoa wa arusha leo amejikuta akiutubia watu kama 10 maeneo ya sokokuu baada ya wananchi kumdarau nakuendelea na shunguli za kawaida hata hivyo mkuu huyo hakukata tamaa aliendelea kuwaomba watu waje watoe kero zinazo wakabili ndipo mzee mmoja alipomuliza nikwanini ametuma mgambo wawaondoleye kijuwe chao kahawa?maarufu kama kijiwe cha chadema,mkuu huyo aliagiza kijiwe hicho kirudi maramoja lakini kwasharti kuwa kiongozi akipita wasiwe wanasomea....