Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,680
- 4,345
hii tuiendeleze hata kwa wale wabunge wa CCM wanafiki wanaojifanya eti sisi ni wawakilishi wa wananchi wakati ni ma bogus, wakipita kitaa tuwaogeshe kwa mayai viza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huiyo ni kawaida yao hatuwashangai hata Dr slaa na EPA walisema mnafki ila ss ukweli umejidhihirishahalafu utasikia wanakanusha
Unashangaa nini mkuu? nenda Mwanjelwa kule Mbeya uambiwe walimfanya nini Raisi wa nchi achana na Rais wa mkoa?No no no hili haliwezani kutokea hata kidogo. Mkuu wa mkoa ni Raisi wa mkoa. Kwa kufanyiwa hivyo angeweza kuita polisi mara moja na kufunga biashara za hao akina mama. Tanzania hatujafikia huko labda Ulaya na America tu ndiyo wanaweza kuwarushia viongozi wao nyanya mbovu na mayai viza.
ipo siku wajenzi watamtupia matofali, mafundi watamtupia spana, walimu watamtupia chaki,wakulima watamtupia majembe na wa mwisho ni wasio na chochote mikononi wataokota mawe na kumtupia na ndo hapo atagundua misingi ya haki za binadamu inaumuhumu kuzingatiwa na kuheshimiwa na dola.
Huyo RC alifikiri hapo sokoni ni sawa na kule kwenye kikao cha madiwani na wenyeviti wa mitaa alipokuwa na uhuru wa kuwatoa maneno ya kebehi na dharau kwa chadema! Kama ni kweli akina mama walimfanyizia hivyo atajifunza maana next time atamwagiwa unga usoni awe kama avatar ya ritz!
Ndo maana ya nguvu za rais,badilisheni katiba.
Nashangaa kwanini mwalimu hakuona katiba mpya ingekuwa jambo la maana sana...Hata mara baada ya kuondoka madarakani?
Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.