Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mbona Gwajima juzi kasema kwani warembo wana shida gani?
mbona msando ni Mkuu wa wilaya?
mbona msando ni Mkuu wa wilaya?
Acha wivu wa kike wewe. Ulitaka ualikwe wewe?Ni aibu. Mwalimu huyu naye bila hata akili anaonekana kushadadia uwepo wa Msanii huyu mwenye Sifa mbaya ya kusambaza Video yake ya Ngono Kinyume na Maumbile.
Inasikitisha sana. Na hata ukimwona vazi alilovaa msanii huyu ni la aibu. Anasimamishwa mbele ya wanafunzi wamwangalie alivyo kama ni model wao.
Kwa tukio hili tu ni haki walimu kumwagiwa mchanga,kurushiwa mayai viza n.k ni shule ya kipuuzi sana. Wazazi wanapaswa wakutane na mkuu wa shule hii. Ni jambo la aibu mtu huyu kuwa ni model wa wanafunzi hawa.
Mkuu wa Mkoa angalia matatizo mawili ya shule hii.
1. Tatizo la kukosa fensi
2. Tatizo la kumwalika ambaruti
View attachment 1909206
Tatizo mavazi mkuuBinadamu yupi ambaye hajawahi kukosea??
Yaani mnataka Ambaruti asishiriki chochote katika jamii??
Kioo chenyewe ni umber rutti au steve nyerere 🤣 🤣Nchi hii ya ajabu sana
Mambo yanafanyika ajabajab
Wasani wanaonekana kioo cha jamii eti
Ova
Ndo shida ya nyie mapunga... Huwa hata kufikiri hamtaki. Mnataka watoto wote waharibike wawe kama nyieAcha wivu wa kike wewe. Ulitaka ualikwe wewe?
Akina Mwa... Wengi huwa wanakuwa na akili. Wewe kwa nini mzazi wako alimdamganya baba yako?WE WAWAPI MKUU AMBER AMEJIREKEBISHA USIMHUKUMU KANA KWAMBA WEWE NDO UMEKAMILIKA SANA
Watu wanajiona wao watakatifuBinadamu yupi ambaye hajawahi kukosea??
Yaani mnataka Ambaruti asishiriki chochote katika jamii??
Punguza chukiNi aibu. Mwalimu huyu naye bila hata akili anaonekana kushadadia uwepo wa Msanii huyu mwenye Sifa mbaya ya kusambaza Video yake ya Ngono Kinyume na Maumbile.
Inasikitisha sana. Na hata ukimwona vazi alilovaa msanii huyu ni la aibu. Anasimamishwa mbele ya wanafunzi wamwangalie alivyo kama ni model wao.
Kwa tukio hili tu ni haki walimu kumwagiwa mchanga,kurushiwa mayai viza n.k ni shule ya kipuuzi sana. Wazazi wanapaswa wakutane na mkuu wa shule hii. Ni jambo la aibu mtu huyu kuwa ni model wa wanafunzi hawa.
Mkuu wa Mkoa angalia matatizo mawili ya shule hii.
1. Tatizo la kukosa fensi
2. Tatizo la kumwalika ambaruti
View attachment 1909206
Hizi tabia zenu nisidanganye mi nazichukia. Mkiacha mtaona kuwa sina chuki nazo tenaPunguza chuki