Mkuu wa Mkoa mwanajeshi kuendelea kuvaa sare za jeshi ni sawa?

Wanapoteuliwa huwa tunasikia wamestaafu jeshini. Jana nimeona kwenye TV mkuu wa mkoa wa mpya mmoja akiwa amevaa sare za jeshi la wananchi kwenye shughuli zake za ukuu wa mkoa. Je hiyo ni sawa? Kama hajastaafu jeshini anatumikaje kwenye shughuli za kisiasa akiwa na cheo chake cha jeshini na sare zake? Ni kueleweshwa tu wakuu
Tuliondoa jeshi katika siasa.

Wanajeshi waliokuwa na nafasi za kisiasa kina Kikwete, Makamba Sr, Chiligati, Mkuchika wakastaafu jeshini na kuendelea na siasa kama wanajeshi wastaafu.

Magufuli karudisha siasa jeshini. Wanajeshi wanateuliwa vyeo vya kisiasa bila kustaafu.

Kuna siku wengine watakitaka kile cheo kikubwa kabisa cha kisiasa, urais, kwa kupindua nchi, watakichukua.

Ushawaambia kufanya siasa ni sawa. Siku ukijisahau kuwakaripia karipia hadharani wanakupindua tu.

Hamna jinsi hapo.

Hizi kanuni nyingine kama "civilian control of the military" zina maana sana. Magufuli amazivunja bila weledi.
 
Wanapoteuliwa huwa tunasikia wamestaafu jeshini. Jana nimeona kwenye TV mkuu wa mkoa wa mpya mmoja akiwa amevaa sare za jeshi la wananchi kwenye shughuli zake za ukuu wa mkoa. Je hiyo ni sawa? Kama hajastaafu jeshini anatumikaje kwenye shughuli za kisiasa akiwa na cheo chake cha jeshini na sare zake? Ni kueleweshwa tu wakuu
Tulimumu, WANAJESHI huwa hawastaafu wanatoka tu ofisini- likizuka timbwili wananyayuka na kufanya kazi yao waliyosomea- KUA
 
Ni kweli kama sijakosea nadhani ni kagera huko kuna alie wahi kuteuliwa na kurudishwa tena jeshini nimesahau jina lake
Huyu ni askari wa Jeshi la Wananchi na bado hajastaafu kwani kabla yakuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Kagera alikuwa mkuu wa wilaya ya Bihungwe Kigoma.

Wakati akiwa mkuu wa wilaya alipandishwa cheo toka Conel na kuwa Brg General ambapo ndio cheo chake kwa sasa.
 
Huyu ni askari wa Jeshi la Wananchi na bado hajastaafu kwani kabla yakuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Kagera alikuwa mkuu wa wilaya ya Bihungwe Kigoma.

Wakati akiwa mkuu wa wilaya alipandishwa cheo toka Conel na kuwa Brg General ambapo ndio cheo chake kwa sasa.
Asante kwa kunikumbusha barikiwa sana
 
Wanapoteuliwa huwa tunasikia wamestaafu jeshini. Jana nimeona kwenye TV mkuu wa mkoa wa mpya mmoja akiwa amevaa sare za jeshi la wananchi kwenye shughuli zake za ukuu wa mkoa. Je hiyo ni sawa? Kama hajastaafu jeshini anatumikaje kwenye shughuli za kisiasa akiwa na cheo chake cha jeshini na sare zake? Ni kueleweshwa tu wakuu
Askari anastaafu rasmi siku ya kufa
 
Wanapoteuliwa huwa tunasikia wamestaafu jeshini. Jana nimeona kwenye TV mkuu wa mkoa wa mpya mmoja akiwa amevaa sare za jeshi la wananchi kwenye shughuli zake za ukuu wa mkoa. Je hiyo ni sawa? Kama hajastaafu jeshini anatumikaje kwenye shughuli za kisiasa akiwa na cheo chake cha jeshini na sare zake? Ni kueleweshwa tu wakuu
Hii nchi kama North Korea tu kwa sasa ................!!

Tumesharudi kwenye Chama Kimeshika Utamu ...... enzi zile Wakuu wengi wa Wilaya walikuwa Wajeshi!!
 
Hussein Melkiory hiyo double standard ya mavazi unaijua wewe peke yako ila mi yote naona sawa.
 
Wanapoteuliwa huwa tunasikia wamestaafu jeshini. Jana nimeona kwenye TV mkuu wa mkoa wa mpya mmoja akiwa amevaa sare za jeshi la wananchi kwenye shughuli zake za ukuu wa mkoa. Je hiyo ni sawa? Kama hajastaafu jeshini anatumikaje kwenye shughuli za kisiasa akiwa na cheo chake cha jeshini na sare zake? Ni kueleweshwa tu wakuu
kwa njia hii tutaweza kuwatisha wapinzani na wanainji kwa ujumla ili muwe waoga daima milele:p:p:p:mad:
 
Wanapoteuliwa huwa tunasikia wamestaafu jeshini. Jana nimeona kwenye TV mkuu wa mkoa wa mpya mmoja akiwa amevaa sare za jeshi la wananchi kwenye shughuli zake za ukuu wa mkoa. Je hiyo ni sawa? Kama hajastaafu jeshini anatumikaje kwenye shughuli za kisiasa akiwa na cheo chake cha jeshini na sare zake? Ni kueleweshwa tu wakuu
Ambaye unamuona anavaa sare za jeshi jua bado anahusika ktk jeshi, yaani hajastaafu kutumikia jeshi.
 
Huyu ni askari wa Jeshi la Wananchi na bado hajastaafu kwani kabla yakuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Kagera alikuwa mkuu wa wilaya ya Bihungwe Kigoma.

Wakati akiwa mkuu wa wilaya alipandishwa cheo toka Conel na kuwa Brg General ambapo ndio cheo chake kwa sasa.

..nimewahi kusikia kwamba WAKUU WA MIKOA ni wajumbe wa KAMATI ZA SIASA ZA CCM ZA MKOA.

..Je, ni halali kwa senior officer wa JWTZ ambaye hajastaafu toka jeshini kushiriki siasa za vyama?

NB.

..enzi za Baba wa Taifa viongozi wa serekali na chama walikuwa wanavaa nguo za jeshi la MGAMBO.
 
Askari kufanya kazi serikalini ina shida gani? That is done everywhere based on the needs.
 
Tuliondoa jeshi katika siasa.

Wanajeshi waliokuwa na nafasi za kisiasa kina Kikwete, Makamba Sr, Chiligati, Mkuchika wakastaafu jeshini na kuendelea na siasa kama wanajeshi wastaafu.

Magufuli karudisha siasa jeshini. Wanajeshi wanateuliwa vyeo vya kisiasa bila kustaafu.

Kuna siku wengine watakitaka kile cheo kikubwa kabisa cha kisiasa, urais, kwa kupindua nchi, watakichukua.

Ushawaambia kufanya siasa ni sawa. Siku ukijisahau kuwakaripia karipia hadharani wanakupindua tu.

Hamna jinsi hapo.

Hizi kanuni nyingine kama "civilian control of the military" zina maana sana. Magufuli amazivunja bila weledi.
Sasa jiwe anaelewa nini
 
Askari kufanya kazi serikalini ina shida gani? That is done everywhere based on the needs.

..una maoni gani kuhusu active senior officer kuwa wakuu wa wilaya na mikoa?

..na wakuu wa wilaya na mikoa ni makamisaa wa ccm ktk wilaya na mikoa wanayoiongoza.

..kwenye nchi za wenzetu wana kipindi cha mpito toka askari atoke jeshini kabla hajaruhusiwa kuteuliwa ktk nafasi za kiraia.
 
Back
Top Bottom