Mkuu wa Mkoa Mtwara atunukiwa Nishani na Papa Benedict XVII

Binafsi si shangazi na hiyo NISHANI, kwani Bw Simbakalia ni miongoni mwa wakatoliki walio isimamia vyema mikakati ya kudhohofisha nguvu ya waislamu mkoa wa Kigoma pamoja na kusimamia kwa uadilifu uliotukuka WARAKA wa kanisa wakt wa uchaguzi mkuu 2010, alihakikisha ktk mkoa wa Kigoma bila kujali chama hakuna mgombea Muislamu anashinda kiti cha ubunge na alifanikiwa 90% kwani mkoa mzima "KIGOMA" mbunge muislamu ni Mh. zitto peke yake, nae pamoja na kupigwa vita ya kidini iliyohamasishwa na Simbakalia + Askofu Ruzoka & kutekelezwa na ma-DC ambao wote ni wakristu, alipita kwa nguvu kubwa aliyokuwa nayo kama Zitto na sio kwasababu ya chama chake. Ilifikia hatua kwa ushauri wa Askofu Ruzoka, Mh. Chiza -N/waziri kilimo mawakala wake wote walikuwa MA-SISTERS. Hivi unafikiri kwa mazingira kama haya Simbakalia hatopewa NISHANI ya utumishi uliotukuka na Kanisa lake "KATOLIKI"

Angalizo tu. Wakati wa uchaguzi wa mwaka 2010 Askofu Mkuu Ruzoka alikuwa Tabora, na kwa majukumu yake ya Tabora hakuwa na muda hata kidogo na mambo ya Kigoma. Askofu wa Kanisa la RC Kigoma ni Mh. Protase Rugambwa.
 
kilindila wewe ni mnafiki.haujui kigoma.mhashamu ruzoka sio askofu wa jimbo la kigoma. Askofu wa kigoma ni rugambwa.kili kwa uongo huu. Hivi jimbo la zito waislam ni weng kuzid wakiristu?kura za zito alipewa na waislam peke yao? Kigoma ni watu wa msimamo. Wanaangalia anayewasaidha na si longolongo. Ata jimbo la kafurira waislam ni wengi sana. Je kafurira alipata kula za wakiristo tu?akili za kuambiwa changanya na zako rojas

Ni kweli askofu Ruzoka sio askofu wa jimbo la Kigoma, lkn elewa kuwa Ruzoka na mzaliwa wa Kasulu-Kigoma., pia khs suala la Zitto kwanza nadhibitisha kauli yangu kwa 1)Nilimsikia Zitto mwenyewe akikiri kupitia Tuongee Asubuhi program-STAR TV kuwa kuna maeneo ktk jimbo lake aliambiwa kuwa hatopewa kula kisa ni Muislamu. 2) binafsi nina ndugu zangu ktk jimbo la Zitto na niwakristo wkt wa uchaguzi mkuu mmoja wao ktk mazungumzo yetu ya kawaida akaniambia "safari hii tutawakomesha nyinyi waislamu, hamtopata mbunge hata 1 kwa mikakati iliyopo kupitia kanisa". 3) Simbakalia na jopo lake, walihakikisha wanafanya chini juu "kwa kutumia pesa, vyeo vyao & influence ya dini -ukristo makanisani" ktk kura za maoni za CCM kusipatikane mgombea muislamu mwenye nguvu, ndio mana wagombea wote wa ccm walionekana tishio walichakachuliwa mapema ktk mchakato wa kura za maoni ili kuwawekea mazingira mazuri wagombea wa wakristu bila kujali vyama vyao. Hata huyo Kafulila mnae m-refer alipata ubunge si kwa sababu anakubalika sana lkn mgombea wa ccm aliyewekwa alikuwa hakubaliki kwa wananchi hata kidogo &ukitaka kuya amini haya leo hii Simbakalia hayupo Kigoma, achaguzi urudiwe Kigoma kusini & ccm waweke mgombea mwingine anayekubalika & asimame na Kafulila uone kafulila atakavyo umbuka ktk matokeo, hata Kigoma mjini Peter Surukamba "CCM" alishindwa na Ali "CCM" lkn kwa kuwa Peter ni Mkristu alitangazwa mshindi tena kwa ushindi wenye utata & ndio mana hadi leo hii kesi ya kupinga ushindi huo wa Peter ipo mahakamani, & Ali hakupata wingi huo wa kura si kwa sababu ya umaarufu /kukubalika kwa Chadema bali Waislamu wa kigoma mara baada ya kugundua njama hizo chafu ya akina Simbakalia, nao waliamua kuwa hawato angalia chama bali muislamu mwenzao.
 
Angalizo tu. Wakati wa uchaguzi wa mwaka 2010 Askofu Mkuu Ruzoka alikuwa Tabora, na kwa majukumu yake ya Tabora hakuwa na muda hata kidogo na mambo ya Kigoma. Askofu wa Kanisa la RC Kigoma ni Mh. Protase Rugambwa.

Kwanza sidhani kama unaijua vizuri jiografia ya Kigoma & Tabora! Pili, Ruzoka ni mzaliwa wa mkoa wa Kigoma, kwa vyovyote vile & kwa namna yoyote ile atakuwa na maslahi na mambo ya mkoa mama wake bila kuacha pembeni maslahi ya dini yake.
 
Ni kweli askofu Ruzoka sio askofu wa jimbo la Kigoma, lkn elewa kuwa Ruzoka na mzaliwa wa Kasulu-Kigoma., pia khs suala la Zitto kwanza nadhibitisha kauli yangu kwa 1)Nilimsikia Zitto mwenyewe akikiri kupitia Tuongee Asubuhi program-STAR TV kuwa kuna maeneo ktk jimbo lake aliambiwa kuwa hatopewa kula kisa ni Muislamu. 2) binafsi nina ndugu zangu ktk jimbo la Zitto na niwakristo wkt wa uchaguzi mkuu mmoja wao ktk mazungumzo yetu ya kawaida akaniambia "safari hii tutawakomesha nyinyi waislamu, hamtopata mbunge hata 1 kwa mikakati iliyopo kupitia kanisa". 3) Simbakalia na jopo lake, walihakikisha wanafanya chini juu "kwa kutumia pesa, vyeo vyao & influence ya dini -ukristo makanisani" ktk kura za maoni za CCM kusipatikane mgombea muislamu mwenye nguvu, ndio mana wagombea wote wa ccm walionekana tishio walichakachuliwa mapema ktk mchakato wa kura za maoni ili kuwawekea mazingira mazuri wagombea wa wakristu bila kujali vyama vyao. Hata huyo Kafulila mnae m-refer alipata ubunge si kwa sababu anakubalika sana lkn mgombea wa ccm aliyewekwa alikuwa hakubaliki kwa wananchi hata kidogo &ukitaka kuya amini haya leo hii Simbakalia hayupo Kigoma, achaguzi urudiwe Kigoma kusini & ccm waweke mgombea mwingine anayekubalika & asimame na Kafulila uone kafulila atakavyo umbuka ktk matokeo, hata Kigoma mjini Peter Surukamba "CCM" alishindwa na Ali "CCM" lkn kwa kuwa Peter ni Mkristu alitangazwa mshindi tena kwa ushindi wenye utata & ndio mana hadi leo hii kesi ya kupinga ushindi huo wa Peter ipo mahakamani, & Ali hakupata wingi huo wa kura si kwa sababu ya umaarufu /kukubalika kwa Chadema bali Waislamu wa kigoma mara baada ya kugundua njama hizo chafu ya akina Simbakalia, nao waliamua kuwa hawato angalia chama bali muislamu mwenzao.

Rudi utafiti vizuri mambo yako.

1. Askofu Mkuu Paulo Ruzoka ni Mzaliwa wa Kibondo, kijiji cha Muhange, na baada ya Operesheni vijiji wazazi walihamia kijiji cha Nyakayenzi.

2. Hoja zako juu ya Zitto na udini uliouweka hapo unahitaji kutoa ushahidi.

3. Tunapochagua viongozi wanaotuwakilisha kisiasa, daima wananchi wa Kigoma tumekuwa hatuangalii chama wala dini, bali ni mgombea gani amewekwa. Hii muulize hata Azim Premji, Ntagazwa na Nsanzugwanko watakiri kuwa ni hivyo.

4. Katika hoja zako harufu ya udini ni kali mno na ni ya wazi kabisa. Tanzania yetu haijafika huko unakotaka tuwe.
 
Kwanza sidhani kama unaijua vizuri jiografia ya Kigoma & Tabora! Pili, Ruzoka ni mzaliwa wa mkoa wa Kigoma, kwa vyovyote vile & kwa namna yoyote ile atakuwa na maslahi na mambo ya mkoa mama wake bila kuacha pembeni maslahi ya dini yake.

Mie nimezaliwa Kigoma, na nimeishi wilaya zote za Mkoa wa Kigoma. Ni mdau mzuri wa Mkoa wa Kigoma, na ninafahamu mambo kuliko unavyodhani.

Hoja unazotoa za kwa kuwa ni Mhashamu Askofu Mkuu ni Mzaliwa wa Kigoma basi kwa vyoyote vile... kwa namna yoyote ile.... ni hoja dhaifu sana, jipange upya. Tafiti uwe na uhakika.

Kama unaelewa vizuri majukumu ya Askofu Mkuu, na ukizingatia Mkoa wa Kigoma una majimbo ya uchaguzi manane: Kigoma Mjini, Kigoma Kusini, Kigoma Kaskazini, Manyovu, Kasulu Mashariki, Kasulu Magharibi, Muhambwe na Buyungu, usingemhusisha Mh. Ruzoka na mambo hayo. Askofu Mkuu ni mtu wa majukumu makubwa, mazito na mengi sana ikiwemo kuhudhuria vikao vya kijimbo, kitaifa na kimataifa, na ni mchungaji mkuu wa Jimbo lake. Muda huo simply hana.
 
Amepeleka mchango wa fedha kiasi gani kanisani..that is criteria

Ingawa mie si muumini ama muamini wa dini hizo za kitabu, sijaona kilichoongelewa juu ya kutoa kwake pesa ama kupeleka pesa kanisani na hivyo kuwa sababu ya yeye kupewa tunzo, nadhani wana vigezo vyao zaidi ya hiyo fedha unayosema, mana kama ni hivyo wale waliojenga misikiti na makanisa basi wangepewa kipaumbele kuliko yeye!
 
Ni kweli askofu Ruzoka sio askofu wa jimbo la Kigoma, lkn elewa kuwa Ruzoka na mzaliwa wa Kasulu-Kigoma., pia khs suala la Zitto kwanza nadhibitisha kauli yangu kwa 1)Nilimsikia Zitto mwenyewe akikiri kupitia Tuongee Asubuhi program-STAR TV kuwa kuna maeneo ktk jimbo lake aliambiwa kuwa hatopewa kula kisa ni Muislamu. 2) binafsi nina ndugu zangu ktk jimbo la Zitto na niwakristo wkt wa uchaguzi mkuu mmoja wao ktk mazungumzo yetu ya kawaida akaniambia "safari hii tutawakomesha nyinyi waislamu, hamtopata mbunge hata 1 kwa mikakati iliyopo kupitia kanisa". 3) Simbakalia na jopo lake, walihakikisha wanafanya chini juu "kwa kutumia pesa, vyeo vyao & influence ya dini -ukristo makanisani" ktk kura za maoni za CCM kusipatikane mgombea muislamu mwenye nguvu, ndio mana wagombea wote wa ccm walionekana tishio walichakachuliwa mapema ktk mchakato wa kura za maoni ili kuwawekea mazingira mazuri wagombea wa wakristu bila kujali vyama vyao. Hata huyo Kafulila mnae m-refer alipata ubunge si kwa sababu anakubalika sana lkn mgombea wa ccm aliyewekwa alikuwa hakubaliki kwa wananchi hata kidogo &ukitaka kuya amini haya leo hii Simbakalia hayupo Kigoma, achaguzi urudiwe Kigoma kusini & ccm waweke mgombea mwingine anayekubalika & asimame na Kafulila uone kafulila atakavyo umbuka ktk matokeo, hata Kigoma mjini Peter Surukamba "CCM" alishindwa na Ali "CCM" lkn kwa kuwa Peter ni Mkristu alitangazwa mshindi tena kwa ushindi wenye utata & ndio mana hadi leo hii kesi ya kupinga ushindi huo wa Peter ipo mahakamani, & Ali hakupata wingi huo wa kura si kwa sababu ya umaarufu /kukubalika kwa Chadema bali Waislamu wa kigoma mara baada ya kugundua njama hizo chafu ya akina Simbakalia, nao waliamua kuwa hawato angalia chama bali muislamu mwenzao.
Kuangalia muislamu mwenzao ni kosa kubwa sana katiak nchi inayotaka umoja kuliko kuangalia chama, haya mawazo za Ukristo na Uislamu hayatatupeleka popote maana dinbi hizo zote ni za kuletwa tu na hazina tija yoyote katika haya tunayoita maendeleo yawe ya kisiasa, kiuchumi, walioleta dini hizo wanawatumia tu ili kufdumaza mawazo na hakuna lolote hapo linalotuhusu, hakuna dini kama hizo mbili katika Africa bali zimeletwa na kwa vile zimeletwa ni kama mapandikizi tu, hatuzifahamu na hatutokaa yuzifahamu, tutaishia kusema yangu ni ya kweli kuliko yako kumbe mwishoni hakuna hata aliye na dini hizo bali ni kuiga na kujidanganya.
 
tukianza kunyoosheana vidole hakuna msafi kati yetu
hata mt paulo alikuwa muuaji na mpinga kristo lkn akawa mwalimu wa kanisa.
sisi tunatazama dhambi zaidi lkn Mungu anaangalia imani na unyenyekevu wake ktk kutii amri zake na kuwa mfano kwa wengine
nampa hongera binafsi namfahamu utendaji wake nimeshafanya kazi kigoma hana makuu na ktk mambo ya kanisa siku zote yupo mstari wa mbele.

Inawezekana wewe ni Padri! hakika umenena ya kweli kabisa.

Big up sana!
 
Ni kweli askofu Ruzoka sio askofu wa jimbo la Kigoma, lkn elewa kuwa Ruzoka na mzaliwa wa Kasulu-Kigoma., pia khs suala la Zitto kwanza nadhibitisha kauli yangu kwa 1)Nilimsikia Zitto mwenyewe akikiri kupitia Tuongee Asubuhi program-STAR TV kuwa kuna maeneo ktk jimbo lake aliambiwa kuwa hatopewa kula kisa ni Muislamu. 2) binafsi nina ndugu zangu ktk jimbo la Zitto na niwakristo wkt wa uchaguzi mkuu mmoja wao ktk mazungumzo yetu ya kawaida akaniambia "safari hii tutawakomesha nyinyi waislamu, hamtopata mbunge hata 1 kwa mikakati iliyopo kupitia kanisa". 3) Simbakalia na jopo lake, walihakikisha wanafanya chini juu "kwa kutumia pesa, vyeo vyao & influence ya dini -ukristo makanisani" ktk kura za maoni za CCM kusipatikane mgombea muislamu mwenye nguvu, ndio mana wagombea wote wa ccm walionekana tishio walichakachuliwa mapema ktk mchakato wa kura za maoni ili kuwawekea mazingira mazuri wagombea wa wakristu bila kujali vyama vyao. Hata huyo Kafulila mnae m-refer alipata ubunge si kwa sababu anakubalika sana lkn mgombea wa ccm aliyewekwa alikuwa hakubaliki kwa wananchi hata kidogo &ukitaka kuya amini haya leo hii Simbakalia hayupo Kigoma, achaguzi urudiwe Kigoma kusini & ccm waweke mgombea mwingine anayekubalika & asimame na Kafulila uone kafulila atakavyo umbuka ktk matokeo, hata Kigoma mjini Peter Surukamba "CCM" alishindwa na Ali "CCM" lkn kwa kuwa Peter ni Mkristu alitangazwa mshindi tena kwa ushindi wenye utata & ndio mana hadi leo hii kesi ya kupinga ushindi huo wa Peter ipo mahakamani, & Ali hakupata wingi huo wa kura si kwa sababu ya umaarufu /kukubalika kwa Chadema bali Waislamu wa kigoma mara baada ya kugundua njama hizo chafu ya akina Simbakalia, nao waliamua kuwa hawato angalia chama bali muislamu mwenzao.

Ninamashaka na kiwango chako cha ELIMU! kama umesoma sana wewe ni kidato cha NNE wa shule za kata. Kama ni zaidi ya hapo uliiba mtihani ukapita na kufika huko. Kwanini ninasema hivyo? Kwanza, unaeleza mambo ambayo hauna uhakika navyo - eti "ulisikia"? hata Mkoa wetu wa Kigoma inaonekana hauufahamu vizuri lakini pia wewe ni MDINI!!!!! I personally hate watu wanaofanya mambo au wanaotoa mawazo yenye mrengo wa kiitikadi ya kidini. This is dangerous my Dear! Dini yenyewe ya Kiislamu uliletewa tu hata hauijui na hata historia yake hauufahamu ( sitaki kukupa darasa hapa, nitaleta mada siku nyingine)!!!. Hebu zungumza mambo yanayoweza kusaidia kujenga Tanzania na Kigoma.

Usimjadili Simbakalia kwa kumlinganisha na utendaji wake kwa waislamu. Jadili nishani aliyopewa kwa kuangalia IMANI yake katika kanisa Katoliki. Nishani aliyopewa ninaimani haina kigezo cha kuwa je, alikuwa akitenda sawa kwa Waislamu na Wakatoliki? bali je, yeye kama Kiongozi Serikalini na muumini wa Roman Catholic, anastahili tuzo hiyo?only that, and not otherwise.

Thanks.
 
Binafsi si shangazi na hiyo NISHANI, kwani Bw Simbakalia ni miongoni mwa wakatoliki walio isimamia vyema mikakati ya kudhohofisha nguvu ya waislamu mkoa wa Kigoma pamoja na kusimamia kwa uadilifu uliotukuka WARAKA wa kanisa wakt wa uchaguzi mkuu 2010, alihakikisha ktk mkoa wa Kigoma bila kujali chama hakuna mgombea Muislamu anashinda kiti cha ubunge na alifanikiwa 90% kwani mkoa mzima "KIGOMA" mbunge muislamu ni Mh. zitto peke yake, nae pamoja na kupigwa vita ya kidini iliyo
Uwe mkweli ewe ndugu. Mkuu wa Wilaya ya Kibondo wakati wa uchaguzi mwaka jana alikuwa Said Bwanamdogo. Sidhani kama huyu ni Mkristu kama ulivyotaka kutuaminisha hapo juu. Uongo hautawasaidia kamwe enyi viumbe. Badilikeni!
 
Hongera zake. Ila kumbukumbu zinaonesha huyu hajawahi kuwa mkuu wa mkoa wa tabora. Mara ya mwisho nadhani alikuwa mkuu wa mkoa wa kigoma. Anyway mkoa siyo issue sana

Alikuwa Mkuu wa mkoa Kigoma, na Ruzoka alikuwa askofu Kigoma. Simbakalia yupo Kigoma sasa kwa ajili ya Tuzo hiyo!
 
Ingawa mie si muumini ama muamini wa dini hizo za kitabu, sijaona kilichoongelewa juu ya kutoa kwake pesa ama kupeleka pesa kanisani na hivyo kuwa sababu ya yeye kupewa tunzo, nadhani wana vigezo vyao zaidi ya hiyo fedha unayosema, mana kama ni hivyo wale waliojenga misikiti na makanisa basi wangepewa kipaumbele kuliko yeye!
Well said broda.
KANISA lina vigezo vyake vinavyotumika kufikia MAAMUZI.
Wanachosahau hawa wanaoongelea kupeleka sadaka kanisani ni kwamba mpambano huo haukuwa wa mkoa wa Kigoma tu, ni wa level ya nchi nzima, na kwa hali hiyo asingeweza kupita kwa kupeleka sadaka nyingi pale Kigoma!
 
Pj rekebisha title ya thread, inasomeka .....Papa Benedict XVII badala ya .....XVI.
 
huo ni wehu na uzushi kwani wezi walishahukumiwa na kufungwa, au unataka kuuaminisha umma kwamba macho na mtazamo wako ikiwa ni pamoja na fitina ulizonazo inaweza kuwa hukumu tosha? papa akitoa nishani kaa ukijua amefanya study ya kutosha na hayo majungu ya kisiasa siasa lazima aliyapata na kuyafanyia kazi kwa kwenda mbele. acha roho mabaya ewe kiumbe.

Wewe ndio mwehu unaedhani kuwa PAPA wa kanisa katoliki hawezi kufanya makosa; Papa ni binadamu kiongozi tu wa kanisa anaechaguliwa na wanaadamu wenzie na hao hao ndo wanaomshauri!! Sasa kama wote ni binadamu kwanini wasifanye makosa? Kanisa Katoliki limewahi kufanya makosa mengi tu huko nyuma na inawezekana hata la huyu mtunukiwa ni kosa. Sina haja ya kuorodhesha makosa yaliyofanywa na kanisa huko nyuma yakiwemo mambo ya kuwalawiti watoto wadogo yaliyofanywa na viongozi wa dini ; zaidi ya hayo kanisa lilishindwa kufanya utafiti murua juu ya padre Milingo kule Zambia na wakampandisha daraja la uaskofu wakati alikuwa hastahili daraja hilo!! Kama sijakosea hata hapa Tanzania kuna askofu wa katoliki aliyepandishwa daraja la uaskofu baadae Vatican ikamshusha hadhi ya uaskofu; hivyo basi ni dhahili kuwa makosa ya uteuzi hufanyika katika kanisa.
 
Ukitambua kwamba hakuna mungu na biblia/ quran ni hadithi, hizi nyingine zote utaona ni mazungumzo baada ya habari.
 
Sasa unafananishaje hii ishu na mambo ya kupewa mtu nishani broda?
Ishu ya ugomvi ndani ya chama ina taratibu zake ambao uko laid down kwenye kanuni za chama husika...
Nitasupport mwanadini kuingilia magomvi ya kisiasa kama kanuni za chama na usuluhishi wa mahakama vyote vitachemsha!

tulia wewe bwana mdogo hivi unaujua umuhimu wa viongozi wa kiroho katika mustakabali wa amani au?wale ni watu wanaoheshimika katika jamii kwa kuwa mwanasiasa lazima ataenda kanisani au msikitini kama ni muamini,sasa kwa heshima waliyonayo kama viongozi wa dini haliwezi kutokea jambo la kuvugika kwa amani wakakaa kimya eti kusubiri vikao vya chama huku uhasama baina ya wafuasi umefikia hatua ya damu kumwagika,usichukulie mambo juu juu ukadhani sintofahamu ile ya seif na hamad rashid inaishia kwa wawili hao,wale wana watu wanao waunga mkono,hao ndio hatari sasa,lakini hao waungaji mkono wakiona wanaowaunga mkono wanashikana mikono baada ya usuluhishi na wao wanatulia,amani inakua imepatikana,ndio walichokua wanakitafuta ponda na basaleh,kuwaleta pamoja mahasimu kwa maslahi ya amani ya nchi.

Hata nyerere kuenziwa na kanisa kama mwenye heri basi utahoji kwa nini kanisa na sio vikao vya chama chake kumuenzi,maana tuanjua wazi hakua kiongozi wa dini bali wa chama na serikali,ingetosha kwa chama na serikali kumuenzi mbona kanisa sasa?unadhani kwanini?
 
Udini,udini,udini.
Mzalendo mtanzania mwenzangu ,umewahi kujiuliza hili kuhusu dini yako ?

Tulio wengi tumeingia kwenye dini si kwa sababu tulikuwa na uhuru wa kuchagua,je una hakika kama ungezaliwa katika familia yenye imani tofauti na unayoamini sasa ungeweza kubadilika kufuata ile nyingine ?

Hakika wengi tupo kwenye dini tulizopo kwa sababu ya Geografia na historia ya waleta dini za kigeni na si vinginevyo.

Na kwa vile imani ni kama bangi kwa kulevya ,yeyote aitumiaye kwa nguvu na kwa kuzidi ,itamdhuru,au itadhuru wengine.

Lakini upo usemi unaosema
'Mtu kitu akiaminicho,hakiwezi kuwa uongo kwake'.
 
Back
Top Bottom