PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Kanali(Mst) Joseph Simbakalia ametunukiwa Nishani na Papa Benedict XVI baada ya kuteuliwa na Kanisa Katoliki Tanzania kuwa ndiye Mlei bora kabisa kwa mwaka huu 2011!
Hongera Mh.Mlei J.Simbakalia...Naamini kabisa kuwa hujapendelewa na mtu, bali utendaji na uumini wako safi. Mungu akusimamie.
Chanzo: Askofu mkuu wa Jimbo la Tabora, Paul Ruzoka, wakati akitoa matangazo baada ya Misa kuu ya Krismas iliyofanyika kitaifa mkoani Tabora.
Hongera Mh.Mlei J.Simbakalia...Naamini kabisa kuwa hujapendelewa na mtu, bali utendaji na uumini wako safi. Mungu akusimamie.
Chanzo: Askofu mkuu wa Jimbo la Tabora, Paul Ruzoka, wakati akitoa matangazo baada ya Misa kuu ya Krismas iliyofanyika kitaifa mkoani Tabora.