mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Karibu mkuu wetu mpya , karibu kwa bashasha, tutakuunga mkono katika kazi zako ili ututendee haki kwa walichokutuma utufanyie.
Katika hotuba za K.M. ndg HP na KM Bashiru kuna jumbe mbali mbali kama maono ya kina yakilenga kuwaasa vijana kutomaliza kazi walizotumwa badala yake kudandia kazi za siasa wakati wenye kazi zao wapo.
Kwanza Dar kuna matatiizo mengi haihitaji shule kuyajua. Ni ya muda mrefu hayajatatuliwa.
Mpangilio wa machinga: wafanyabiashara hawa mbali na kupendwa Serikali imeshindwa kuwaweka kwenye mpangilio sahihi.
Wamejaza sehemu isiyoruhusiwa had I kwenye mwendokasi na transformation
Huduma ya Usafi; hii imefeli kabisa, kwenye vituo vyote vichafu.
Sehemu zilizotengwa kufanyia michezo bado kuna magereji.
Maduka mengi bado wanauza bidhaa feki.
Machangudoa sehemu nyingi wanazidi kupanua wigo ya kusurubu wa kwale.
Vyuma vilivyowekwa kama urembo vimeibwa , mifuniko ya maji taka pia.
Miti iliyopandwa kwa mbwembwe yote imekauka.
Mashulee, machinjo, hospital zote za Dar bado hazijakamilika kwa wakati.
Hii yote ni kwa sababu za kuacha ulichotumwa kuwainua wananchi na kudadia usiyotumwa ASA ya kisiasa na mengine ya kijinsia yasiyotatulika bila nguvu za kimahakama.
Hima fuata maelekezo ya bosi wako kama alivyokueleza kwenye hotuba yake.
Maendeleo hayana vyama fanya kazi bila upendeleo. Tunakutakia huduma njema. Karibu dar bila ya mihemuko ya kisiasa.
Katika hotuba za K.M. ndg HP na KM Bashiru kuna jumbe mbali mbali kama maono ya kina yakilenga kuwaasa vijana kutomaliza kazi walizotumwa badala yake kudandia kazi za siasa wakati wenye kazi zao wapo.
Kwanza Dar kuna matatiizo mengi haihitaji shule kuyajua. Ni ya muda mrefu hayajatatuliwa.
Mpangilio wa machinga: wafanyabiashara hawa mbali na kupendwa Serikali imeshindwa kuwaweka kwenye mpangilio sahihi.
Wamejaza sehemu isiyoruhusiwa had I kwenye mwendokasi na transformation
Huduma ya Usafi; hii imefeli kabisa, kwenye vituo vyote vichafu.
Sehemu zilizotengwa kufanyia michezo bado kuna magereji.
Maduka mengi bado wanauza bidhaa feki.
Machangudoa sehemu nyingi wanazidi kupanua wigo ya kusurubu wa kwale.
Vyuma vilivyowekwa kama urembo vimeibwa , mifuniko ya maji taka pia.
Miti iliyopandwa kwa mbwembwe yote imekauka.
Mashulee, machinjo, hospital zote za Dar bado hazijakamilika kwa wakati.
Hii yote ni kwa sababu za kuacha ulichotumwa kuwainua wananchi na kudadia usiyotumwa ASA ya kisiasa na mengine ya kijinsia yasiyotatulika bila nguvu za kimahakama.
Hima fuata maelekezo ya bosi wako kama alivyokueleza kwenye hotuba yake.
Maendeleo hayana vyama fanya kazi bila upendeleo. Tunakutakia huduma njema. Karibu dar bila ya mihemuko ya kisiasa.