Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,252
- Thread starter
- #101
Tarehe 13/09/2021 imepita swala la kuwaondoa wamachinga limerudi nyuma ya mwanzo! Nilisema hakuna anayeweza kuwaondoa wamachinga zaidi ya Rais, japo na yeye anawasukumizia wa chini yake huku akiwatisha!