Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni ya msaada hana sababu ya kukataa ila kama ni hela ya serikali yupo sawa kabisa.
Hili ni benchi na si dawati. Watoto watajitoboa vidole kutokana na hizo mbao. Tuhamie kwenye plastic. Tuache kuharibu misitu
Kama ndio hayo ubora wake una mashaka
waendelee kukalia mawe siyo?Kama hayakidhi viwango kutokana na kuwa ya msaada bora ayakataae tu kwakuwa madhara ya kutokidhi viwango hayaangalii msaada au fedha ya umma - madhara ni madhara tu
HAHAHA AFWADHALI AISEE SASA UKITAKA KULIA KABISA UJUE BEI YAKE...............................
Ina maana yeye ndo katoa hayo madawati? Mimi naona hayafai hata kidogo.Msigwa ni janga aiseee.
Anatoa madawati fambastic namna hii...!!