Sadoth Rugalema
Member
- Nov 9, 2017
- 96
- 70
Asante mkuuMarashi
Asante mkuuMarashi
Nilikuwa nasubiri comment hii! Watu na fani zao.Aliishi maisha ya utimilifu mno kwa viwango vya kibinadamu, akazalisha roho chanya iliyomfanya apendwe na watu wake wengi... Hii imemjengea nishati chanya ambayo ndio hiyo watu wanapagawa nayo "hallucinations"
Nitafanya hivyo nimisahau tukumbushane tafadhaliTunaomba utupe uzi kuhusu hali hii