Mkuu wa mkoa avunjwa mkono na vibaka

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,267
4,715
Wana jf, habari za wkend, kuna habari nimesikia zimenisikitisha sana. Ati mkuu wa mkoa wa lindi na kaimu mkuu wa mkoa wa dsm ktkt ya wiki hii wakati akitokea ddm kuelekea dar, alipofika maeneo ya ubena zomozi alitokea mtu pembeni ya barabara akaingia barabarani gafla kisha akatoka nje ya brbr. Dereva wa gari la mkuu wa mkoa alidhiti gari vizuri lakini mara baada ya kumpita huyo mtu juwe kubwa lilirushwa kwenye gari likavunja kuyo na kuangukia kwenye mkono wa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa amevunjika mkono. MY TAKE: barabara ya dar-moro-dodoma haijawahi kuwa salama kwa wasafiri, je serikali hailioni hili?. Mtakumbuka kuwa hata mh. Anne kilango alishawahi kuporwa ktk barabara hihii. Uozo huu utendelea mpaka lini?
 
una uhakika na madai yako?.............. kama ni kweli, utakuwa uhalifu wa kawaida....................
ebu wacha mambo yako wewe, hakuna uhalifu wa kawaida. Uhalifu ni uhalifu na serikali na wananchi waukemee na kupambana nao
 
una uhakika na madai yako?.............. kama ni kweli, utakuwa uhalifu wa kawaida....................

Khaa hii zana hii ndo imelifikisha taifa hapa tulipo

Uhalifu ni uhalifu tu hakuna wa kawaida na mkubwa wote ni kitu kimoja
 
YAH mama kilango ile ilikuwa kazi maalum ,
hii inaonekana wananchi wameona magari mazuri yanapita wao jiko limenuna,
anyway napinga uhalifu ila hii ni matokeo ya gap kubwa la wenye nazo na washinda njaa
 
Wana jf, habari za wkend, kuna habari nimesikia zimenisikitisha sana. Ati mkuu wa mkoa wa lindi na kaimu mkuu wa mkoa wa dsm ktkt ya wiki hii wakati akitokea ddm kuelekea dar, alipofika maeneo ya ubena zomozi alitokea mtu pembeni ya barabara akaingia barabarani gafla kisha akatoka nje ya brbr. Dereva wa gari la mkuu wa mkoa alidhiti gari vizuri lakini mara baada ya kumpita huyo mtu juwe kubwa lilirushwa kwenye gari likavunja kuyo na kuangukia kwenye mkono wa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa amevunjika mkono. MY TAKE: barabara ya dar-moro-dodoma haijawahi kuwa salama kwa wasafiri, je serikali hailioni hili?. Mtakumbuka kuwa hata mh. Anne kilango alishawahi kuporwa ktk barabara hihii. Uozo huu utendelea mpaka lini?

Ana kilango hakuishiwa kuporwa tu na kubakwa walimbaka vibaya sana
 
HASA BARABARA YA DODOMA-MORO ndo mbaaya zaidi maana hata miel mwaka huu nikielekea mikoani usiku kama saa nane hivi...kwenye ile mipando mirefu ya milima ya moro nilikutana na mawe yamepangwa katikati ya barabara tena kwenye kona kali.
Serikali yapaswa kuwa makini juu ya barabara hizi maana matukio ni mengi mno ya uhalifu wa roads.
Kama tukio hilo ni kweli, POLE MH.MKUU WA MKOA.
 
MY TAKE: barabara ya dar-moro-dodoma haijawahi kuwa salama kwa wasafiri, je serikali hailioni hili?. Mtakumbuka kuwa hata mh. Anne kilango alishawahi kuporwa ktk barabara hihii. Uozo huu utendelea mpaka lini?

Mhhh
Hivi ukisema Dar Moro -Dodoma haijawai kuwa salama

  • barabara zinazounganisha mikoa ya kigoma Mwanza kagera shinyanga utasemaje?
Tusisahau Tanzania ni Kubwa.
 
Mimi naipenda hii, kama ni kweli mkuu wa mkoa kavunjwa mkono basi ni nzuri sana. Natamani hii iende hadi kwa mawaziri na hata ikiwezekana Rais. Itasaidia sana kutuondolea vibaka humo njiani na hata majambazi wanaovamia nyumbani kwetu. Maana sisi wengine tukivamiwa tukakatwa mapanga, wala serikali haioni kama hilo ni tatizo. Bora sana vibaka hawa waendelee kufanya hivyo kila wanapoona gari la viongozi.
 
Wana jf, habari za wkend, kuna habari nimesikia zimenisikitisha sana. Ati mkuu wa mkoa wa lindi na kaimu mkuu wa mkoa wa dsm ktkt ya wiki hii wakati akitokea ddm kuelekea dar, alipofika maeneo ya ubena zomozi alitokea mtu pembeni ya barabara akaingia barabarani gafla kisha akatoka nje ya brbr. Dereva wa gari la mkuu wa mkoa alidhiti gari vizuri lakini mara baada ya kumpita huyo mtu juwe kubwa lilirushwa kwenye gari likavunja kuyo na kuangukia kwenye mkono wa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa amevunjika mkono. MY TAKE: barabara ya dar-moro-dodoma haijawahi kuwa salama kwa wasafiri, je serikali hailioni hili?. Mtakumbuka kuwa hata mh. Anne kilango alishawahi kuporwa ktk barabara hihii. Uozo huu utendelea mpaka lini?
Japokuwa Kiswahili chako kigumu kidogo, lakini nimejitahidi kukielewa ivyo ivyo... Ilo juwe (jiwe) lilikuwa kubwa kiasi gani kiasi liweze kuvunja kioo cha gari na mkono wa mheshimiwa... ni ajabu kweli kweli.
 
duh kama walimdo anne kilango cpati picha zao watekelezaji namna alivyowapa vidonge yao wkt wakiendelea na shughuli
 
Mimi naipenda hii, kama ni kweli mkuu wa mkoa kavunjwa mkono basi ni nzuri sana. Natamani hii iende hadi kwa mawaziri na hata ikiwezekana Rais. Itasaidia sana kutuondolea vibaka humo njiani na hata majambazi wanaovamia nyumbani kwetu. Maana sisi wengine tukivamiwa tukakatwa mapanga, wala serikali haioni kama hilo ni tatizo. Bora sana vibaka hawa waendelee kufanya hivyo kila wanapoona gari la viongozi.

kamanda wa polisi mstaafu ameuawa kwa mapanga akiwa nyumbani kwake, naona hawa watimiza maono yako......................... Nadhani wataendeleza mpaka wamfikie mkulu. Mungu pishia mbali.
 
Aliyembaka mama , aliuwawa,kifo cha mashaka ,mfanyabiashara maarufu wa morogoro kwa jina la uswaaA alipigwa risasi mchana na hawakuchukua hata senti moja pamoja na kuwa alikuwa na pesa milioni mia tano kwenye gari .Walitaka roho yake tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom